denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Na hiki ndio chanzo mara kadhaa hizo tuzo kupewa wasiostahili.HITIMISHO:
Hizi Tunzo zinatolewa kwa kura na si stats.
Atakayependwa na Wapiga kura ndiye atakayebeba Tunzo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hiki ndio chanzo mara kadhaa hizo tuzo kupewa wasiostahili.HITIMISHO:
Hizi Tunzo zinatolewa kwa kura na si stats.
Atakayependwa na Wapiga kura ndiye atakayebeba Tunzo
Kama Liver akishinda UEFA basi mwenye kustahili ni Mane maana vigezo hatafutwi mfungaji bora ni mchezaji aliyechangia kwa kiasi kikubwa ushindi wa team yake sasa Mane kushinda kombe la African, qualify WC na kama ataongeza kikombe cha FA halafu aje achukuwe UEFA haya ni mafanikio makubwa sana, Messi alishinda Copa America tu wakasema inatisha kumpa. Kitu nilijifunza kwa mchezaji wa Africa na hata mataifa ya ulaya madogo ili upewe ni lazima ufanya mara mbili ya mchezaji kutoka France, Germ, Italy, Spain, UK, Port, Brazil na Argentina.Benzema kawafunga mancity goal 3 na sio 2, back to the topic , kigezo cha kuchukua kombe la mataifa ya Africa huku akiwa mchezaji Bora bado kinampa credit Mane , akichukua UEFA na vikombe hata viwili vya mbuzi ( ambacho kimoja anacho ) kinampaisha pia , tatizo Tu ni kuwa ni Mwafrica ....Ila data zake kama zingekuwa za Benzema , bila doubt Benzema angechukua
Hivi ni Tunzo au Tuzo?HITIMISHO:
Hizi Tunzo zinatolewa kwa kura na si stats.
Atakayependwa na Wapiga kura ndiye atakayebeba Tunzo
Hivi ni Tunzo au Tuzo?
Kua mwafrika wala sio tatizo kwenye hizo tuzo,ndo maana wako wazungu wengi tu ambao wangestahili kupata ila hawakupata kwasababu walitegemea juhudi zao za uwanjani peke yake ziwabebe.tuzo zinatokana na kura za watu.kwahiyo ili uipate itategemea uko vip na hao wapiga kura.Tunachokikosea sisi waafrika ni kukaa pembeni nakufikiri jitihada zetu peke yake ndio zitakazotubeba bila kujua dunia ya ushindani imebadilika.Dunia ya ushindani inataka kuona una ushawishi kiasi gani nasio umefanya kiasi gani.Wenzetu wamekua wajanja kushawishi mambo yao ndo yawe mambo ya dunia nzima kwahiyo ili nasisi afrika kufika level yakua na maamuzi yakusikilizwa tunatakiwa tuongeze nguvu zetu kwenye ushawishi.Benzema kawafunga mancity goal 3 na sio 2, back to the topic , kigezo cha kuchukua kombe la mataifa ya Africa huku akiwa mchezaji Bora bado kinampa credit Mane , akichukua UEFA na vikombe hata viwili vya mbuzi ( ambacho kimoja anacho ) kinampaisha pia , tatizo Tu ni kuwa ni Mwafrica ....Ila data zake kama zingekuwa za Benzema , bila doubt Benzema angechukua
Mane bado,Mane
Atapewaje benzema timu ya taifa ameifanyiaje hatuangalii mlipuko wabiga kuraAtapewa messi na watu watamshangilia