Uchaguzi 2020 Mwaka huu hakuna Uchaguzi rahisi kama wengi tulivyodhani

Uchaguzi 2020 Mwaka huu hakuna Uchaguzi rahisi kama wengi tulivyodhani

Image
 
CCM hawana mahali pa kutokea katika uchaguzi wa mwaka huu. Wameanza kuweweseka kama mlevi aliyekunywa pombe ya libeneke au dengerua. Tutaelewana tu mwaka huu. Na hizo rushwa walizowahonga wajumbe zitawatokea puani!.
 
Kinga walionayo CCM ni NEC kuwaondoa wagombea kupitia CHADEMA na ACT

Tume inajua nani ni mshindi mpaka sasa

Sio rahisi Kama unavyofikiria... Namba hazidanganyi.
Usidhanie matokeo ya uchaguzi yatatangazwa Kama takwimu za covd 19 kwamba mtu anaamua tu kutaja namba fulani na watu wakaamin..

Matokeo ya uchaguzi yanahesabiwa ktk kituo Cha uchaguzi na kujumlishwa na idadi ya sehemu zingine... Hizo takwimu kila chama kitakuwa na utaratibu wake wakukusanya taarifa sio kutegemea NEC pekee.
 
Kwani huyo lisu miaka yote ya uchaguzi si alikuwepo, kwanini chadema hawakumfanya mgombea wao ili ashinde uraisi? Iweje Leo ndio aonekane anaweza? Nadhani machadema yanataka kumuuwa kwa msongo wa mawazo baada ya uchaguzi (atashindwa vibaya)
 
Muunge mkono wewe na familia yako sisi wengine tunasubiri kwa hamu tumufyatuwe kama paka shume tarehe 28/10/2020.
Asante sana vyombo vya dola kwa kumpuuza ili akose kisingizio kwamba anaonewa.

Ila siku ile mifugo yao ikiingia barabarani ipigeni kipigo mbwa mwizi .
 
He is the Rock, Stony Hard candidate. Mr TAL. Yaani ametutia mamotoo kichizi yaani tulikuwa wa baridi for 5yrs.
 
Kwani huyo lisu miaka yote ya uchaguzi si alikuwepo, kwanini chadema hawakumfanya mgombea wao ili ashinde uraisi? Iweje Leo ndio aonekane anaweza? Nadhani machadema yanataka kumuuwa kwa msongo wa mawazo baada ya uchaguzi (atashindwa vibaya)
Ni kwanini Magu hakua Mgombea wa CCM mwaka 1995 au 2005?
 
Tatizo kwa upinzani ushabiki mwingi midomoni ila siku ya kupiga kura ni emty kabisa hawaendi kama wanavyoshabikia na hiki ndio kinachawaangusha upinzani
 
Tatizo kwa upinzani ushabiki mwingi midomoni ila siku ya kupiga kura ni emty kabisa hawaendi kama wanavyoshabikia na hiki ndio kinachawaangusha upinzani
Huwa unakuwepo vituo vyote nchi nzima au unasikiliza propaganda za wezi wa kura kijani kibichi.
 
Sio rahisi Kama unavyofikiria... Namba hazidanganyi.
Usidhanie matokeo ya uchaguzi yatatangazwa Kama takwimu za covd 19 kwamba mtu anaamua tu kutaja namba fulani na watu wakaamin..

Matokeo ya uchaguzi yanahesabiwa ktk kituo Cha uchaguzi na kujumlishwa na idadi ya sehemu zingine... Hizo takwimu kila chama kitakuwa na utaratibu wake wakukusanya taarifa sio kutegemea NEC pekee.
Tusidanganyane mkuu, kwanini hawataki matokeo yahesabiwe sehemu ya wazi?
 
Watu walitegemea ujio wake kupokelewa uwanja wandege mabomo yatalindima kinyume chake nikama kupokea wagen wakipahi Mara kimya kimya hikaisha hivyo Ila platforms ya politics haikuwepo ikabakia ajenda ya wimbo wataifa nakupigwa risasi ndio ajenda kubwa yakunadi nakuombea kura kwenye majukwaa hapo hapahitaji atakutumia nguvu kubwa mbele kweupe mapema kabisa ushindi mkubwa nchi mtu hapewi kwa kuonewa huruma mtu nchi anapewa kwakujitowa na uwajibikaji sio kwa kuongeea Sana unapopewa Jimbo tunangalia umefanya Nini hata watu wafikilia kukupa nchi
 
Kila kitu kinajieleza huko upinzani washabiki wengi ni vijana shida siku ya kupiga kura uke mwamko haupo
Kuna mmoja kapandisha uzi humu eti kuna mlevi wa mataputapu anapita kwa walevi wenzie kumnadi Lissu wakati hao walevi hata hawajui id zao za kupigia kura zilipo.
 
Back
Top Bottom