Mwaka huu usiage kila mtu, washitukie umefika

Mwaka huu usiage kila mtu, washitukie umefika

Mwanasayansi Kalivubha

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2024
Posts
344
Reaction score
926
MWAKA HUU USIAGE KILA MTU, WASHITUKIE UMEFIKA.

Karibu 2025 !

Bila shaka tayari umefanya tathimini kuangalia sababu nyuma ya kushindwa kwako katika baadhi ya malengo na inawezekana hujaona sababu hii YA KUAGA HOVYO.

Sasa nikwambie KUAGA HOVYO ni kikwazo pia kikubwa cha kushindwa kwa sababu hizi:

1.Watakwambia utashindwa hivyo uache hiyo safari hapa hata ndugu zako watakwambia hivyo kama vile wanakuonea huruma kumbe nyuma yake kuna uharibifu.

2 Watakuharibia, wivu utawasumbua hivyo watafanya namna yoyote wakwamishe safari yako.

3.Watakupa mifano ya watu waliokuwa na safari kama yako ila wakashindwa.

4.Wengine watajaribu mpaka ushirkina ili wakukwamishe kwa sababu wanajua ukifika salama tu utafaidika.

# Mwanasayansi Saul Kalivubha.
#Fikia Ndoto Zako
 
MWAKA HUU USIAGE KILA MTU, WASHITUKIE UMEFIKA.

Karibu 2025 !

Bila shaka tayari umefanya tathimini kuangalia sababu nyuma ya kushindwa kwako katika baadhi ya malengo na inawezekana hujaona sababu hii YA KUAGA HOVYO.

Sasa nikwambie KUAGA HOVYO ni kikwazo pia kikubwa cha kushindwa kwa sababu hizi:

1.Watakwambia utashindwa hivyo uache hiyo safari hapa hata ndugu zako watakwambia hivyo kama vile wanakuonea huruma kumbe nyuma yake kuna uharibifu.

2 Watakuharibia, wivu utawasumbua hivyo watafanya namna yoyote wakwamishe safari yako.

3.Watakupa mifano ya watu waliokuwa na safari kama yako ila wakashindwa.

4.Wengine watajaribu mpaka ushirkina ili wakukwamishe kwa sababu wanajua ukifika salama tu utafaidika.

# Mwanasayansi Saul Kalivubha.
#Fikia Ndoto Zako

Ukikwama njiani ukahitaji msaada, usiache kuwapa taarifa za mipango yako iliyonuka bila kutarajia!
 
ufike saa saba usiku watu wamelala hawana taarifa uanze kuwasumbua wakufungulie mlango, utalala nje

Tatizo hili la elimu duni limeota mizizi zaidi kwenye timu ya ndugu pichani:

Gfq-SyFXwAAhuk9.jpeg


Elimu duni na ushirikina na ndugu na dadake!
 
Back
Top Bottom