Mwaka huu wa fedha 2023/2024 hakuna kupanda madaraja na mserereko? Watumishi wa Umma wameingizwa choo cha kike?

Mwaka huu wa fedha 2023/2024 hakuna kupanda madaraja na mserereko? Watumishi wa Umma wameingizwa choo cha kike?

bahatibahati

Member
Joined
Jul 4, 2023
Posts
44
Reaction score
84
HAKIKA MCHENGERWA, Ridhiwani na Simbachawene mmewaingiza watumishi choo cha kike, kwani pamoja na kuwatuma maafisa mbalimbali Kila Kona ya nchi kuongea na watumishi hakuna hata kimoja kilichotekelewa.

Hakuna cha Madaraja, mserereko, msawazo uliofanykka. Hii ni fedha kubwa kwa watumishi wa umma. Hii itasababisha kushuka morali ya utendaji kazi.

Kulikuwa na haja gani kuzunguka nchi nzima kuongea na watumishi? Kwanini mnadanganya watumishi?

Inawezekana maafisa walibuni utaratibu wa kupata posho ya SIKU ?kwa kuzunguka Kila mkoa?

Hadi juzi maafisa walikuwa wanaendelea kudanganya na kutoka ahadi lukuki.

Amakweli hatupaswi kuiamini serikali kutokana na kilichofanywa.

Wamewalaghai watumishi kwa muda mrefu na vyama vya wafanyakazi kama CWT, TALGHU haviwasemei wafanyakazi.

PIA SOMA
- Madaraja na mserereko wa madaraja kwa watumishi ni porojo tu. Serikali hakuna hela?

- Uongo wa Serikali katika kupandisha watumishi madaraja mwaka wa fedha 2023/2024
 
Watumishi ni kisehemu tu cha watu wachache kwny mil60+ kwa hiyo mama abdul na team yake wakiwa sitting room na mkwe wake mchengerwa wanaamua tu hatima yao bila kuwaza maumivu yao na wako happy
 
Kwa hiyo hadi Leo mnawaamini CCM ?Msonde anapita kila wilaya kuongea na walimu Kwa lengo la kufanya kampeni
naona Kuna waraka ulitoka mwezi May ,lakin huo waraka unawazungumzia waliopanda vyeo halafu wakapokonywa barua hauzungumzii wale ambao wanadtahili kuwa kwenye kundi Rika walioajiriwa nalo,nimeona naibu Katibu mkuu Tamisemi ndg Charles Msonde akipita kila halmashauri anasema watafanya msawazisho wa vyeo Kwa watumishi(harmonization)lakin Hilo jambo halizungumziwi tena serikali itoe tamko
 
Back
Top Bottom