Mwaka jana

Mwaka jana

Mr.creative

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2011
Posts
492
Reaction score
117
Wanajf mnakumbuka mwaka jana walimu wenye stashahada walichelewa kuajiliwa mpaka 24 jan.mwaka huu.Kutokana na hali inayojionesha kwa sasa kwa wale wa tcu na mikopo, nahisi mambo ya ajira kwa walimu yanaweza yakachelewa! NI MTAZAMO TU!
 
Back
Top Bottom