Mwaka mmoja bila Magufuli: Je, Demokrasia na Uhuru wa kujieleza vimezidi kuimarika, vimepungua au tuko palepale alipotuacha?

Mwaka mmoja bila Magufuli: Je, Demokrasia na Uhuru wa kujieleza vimezidi kuimarika, vimepungua au tuko palepale alipotuacha?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Nauliza ili swali tukiwa tunaelekea kutimiza mwaka mmoja tangu Rais wa Tanzania John Magufuli afariki akiwa madarakani.

Je, hali ya demokrasia ikoje?

Je, uhuru wa kujieleza ukoje?

Je, ubadhirifu wa mali ya umma ukoje?

Je, halmashauri ufisadi hali ikoje hasa Uviko fund?

Mauwaji je, hasa maeneo ya Sukuma land ie Geita

Hali ya Nishati ikoje?

Maji je?

Nk....nk

Kuna maboresho, Udumavu au kushuka viwango?

Mungu wa mbinguni awabariki nyote.

Three the Hard Way
Katoro - Geita!
 
Back
Top Bottom