Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Gone too soon! Too young..! But from a distance God is watching...! Dirty political game took this innocent soulMimi si CHADEMA lakini kifo hiki kiliniliza sana.
Kama vile bado anaishi aiseeKamanda Mtoi, daah....I'm speechless
Dah aiseee hufahamu? Alikua pigo kubwa Sana Sana kwa Team Lumumba, buku saba FCNasikia alikua member wa jamiiforums MUNGU ampumzishe mahali panapomstahili
We nani sasa ACT au CUF mwenzako CCM...[emoji41] [emoji41]Mimi si CHADEMA lakini kifo hiki kiliniliza sana.
Inaumiza sana huyu kaka basi ndio kazi ya Allah
Ulisoma manifesto za vyama vyote akiwemo Dovutwa uchaguzi uliopita?Mimi ni mtanzania, wakati wa uchaguzi ninaangalia chama chenye manifesto inayonipendezea ninakipigia kura.