Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ina ukweli Aiseeeee kabsaa. Yaani hata humu ndani Kuna watu huwa najiuliza tu....Talented people die early, foolish and useless live long with very little contribution to mankind
Michael yupo sijawasiliana nae Ila yupoHivi Michael Aweda alienda wapi?
Kaka nimewaza sana tangu week iliopita aliko huyu Kamanda kimya sana sanaHivi Michael Aweda alienda wapi?
Hapa JAMVINI haonekani vp hata kwenye malumbano ya hoja haonekaniMichael yupo sijawasiliana nae Ila yupo
Doh so sad mkuuu... ndo nimetoka nyuma ya nondo but aluta continua!!View attachment 398455 Safari ya mwisho ya Mohamedi Mtoi hapo Sept 12, 2015.
Yale maswali magumu hayajawahi kujibiwa hadi Leo hii, miezi kumi na mbili baadae kila kitu kimesahaulika.
Swali mojawapo lilikua, nani alikua dereva wa Chabebi siku ile? Kulikua na taarifa pia kuwa dereva Huyo alitoroka na baadae kuhojiwa na kusema alikimbia kwasababu hakuwahi kulazwa hospital! Yule mwingine aliekua nae kwenye gari nae alikua na hadithi ya tofauti.
Abiria wake hawa hawakuumia, lakini inasemekana pia Chabebi hakukutwa na jeraha, wale vijana wa boda boda wanasema Chabebi alikua juu ya sio kule chini! What happened? BAK MANI lusungo Chakaza tpaul zumbemkuu kuna mwenye clue yoyote? Apumzike kwa Amani
walikuweka kwa muda gani??Doh so sad mkuuu... ndo nimetoka nyuma ya nondo but aluta continua!!
Mwezi mzima mkuu....walikuweka kwa muda gani??
Hio sasa sifa, umeua? Au umeiba demu wa Moderator? That was too much kwa kweli, ok karibu aiseeeeMwezi mzima mkuu....