Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Unatukuzaje ya dunia na yasiyoonekana?!!!!
👍
Wahuni tu njia zimevurugwa huko vijijini utelezi kibaoNawasalimu kwa jina la JMT.
Mwaka mmja wa Rais SSH madarakani,wakala wa barabarani za Vijijini na Mijini Tarura imeendelea kuleta mageuzi makubwa ya barabara za Vijijini na Mijini kwa kufungua Nchi kufika kusiko fikika hivyo . kuwanufaisha wananchi.
Ikumbukwe kabla ya kuongezewa bajeti, barabara za Vijijini ilikuwa ni kilio kikubwa sana kwa wanachi wa Vijijini lakini mama alisikia kilio na Sasa matokeo yanaonekana.
Sio tuu barabara za changarawe na madaraja yanajengwa bali hadi Vijijini huko lami zinazidi kutandazwa.
Bado mama ana miaka 4 zaidi,wanaomchukia watampenda wenyewe bila kulazimishwa.
Twende Kazi Mama matunda yako tunayaona👇
View attachment 2175274
View attachment 2175173
View attachment 2175174
View attachment 2175175
View attachment 2175176
View attachment 2175177
View attachment 2175178
View attachment 2175179
View attachment 2175180
View attachment 2175181
View attachment 2175182
View attachment 2175183
Unatukuzaje ya dunia na yasiyoonekana?!!!!
Ya mh.Rais SSH yanaonekana haswaaaaa.......
Tunaendelea KUYAIMBA....haijalishi🎼🎼📯📯📯
#Siempre SSH🙏
Ni mwendolezo wa kazi tuu 👇Mh.Rais Samia anajieleza kwa DATA tu......
Neema Inaendelea kulishukia taifa letu pendwa🙏
#Siempre SSH🙏
#Siempre JMT🙏📯📯
Zikivurugwa zinarekebishwa kama hivi👇Wahuni tu njia zimevurugwa huko vijijini utelezi kibao
mbona umekuwa ukimpigia sana mama chepuo?Kwamba hata macho huoni yaani au upofu wa chuki binafsi tuu? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]..
Usiyempenda Kaja mkuu ni Kazi tuu na inaendelea kwa Kasi kubwa
View attachment 2175194
View attachment 2175195
View attachment 2175196
View attachment 2175197
Kama US watu wanalala nje hawana nyumba sembuse Tanzania?mbona umekuwa ukimpigia sana mama chepuo?
hivi una habari miaka 61 ya uhuru na kuongozwa na Chama bovu mpaka leo hii hapo kwenu njombe wanafunzi wa mdete primary school wanakaa chini?
sasa maendeleo yapo wapi hapo kama changamoto ndogo tu mama anashindwa kuzitatua