Mwaka Mpya 2021 umeanza; umejiwekea Malengo yapi? Malengo yangu niliyojiwekea ni haya

Mwaka Mpya 2021 umeanza; umejiwekea Malengo yapi? Malengo yangu niliyojiwekea ni haya

Kila la kheri Mkuu
16116690156628355466049235399467.jpg

16116690156628355466049235399467.jpg
Yani naomba niache hii kitu ila ndiyo kwanza nimepita sehemu wanauza aise imebidi niombe na kiti, ka posho ka leo kanaishia hapa daaah.
 
View attachment 1686732
View attachment 1686732Yani naomba niache hii kitu ila ndiyo kwanza nimepita sehemu wanauza aise imebidi niombe na kiti, ka posho ka leo kanaishia hapa daaah.
Ila hiyo sio shida Sana, muhimu uiweke kwenye bajeti kabisa. Mfano kila siku unywe bia 4 x 2,500 = 10,000

Kwahiyo kwa mwezi unatenga zako 300,000 kwa ajili ya kilaji.

Ukifanya hivyo, naamini utaweza kuweka malengo na kuyatekeleza.

Yes you can 💪💪
 
Ila hiyo sio shida Sana, muhimu uiweke kwenye bajeti kabisa. Mfano kila siku unywe bia 4 x 2,500 = 10,000

Kwahiyo kwa mwezi unatenga zako 300,000 kwa ajili ya kilaji.

Ukifanya hivyo, naamini utaweza kuweka malengo na kuyatekeleza.

Yes you can 💪💪
Ngoja nijaribu hivyo nione matokeo yake, ahsante kwa ushauri.
 
Sijaweka malengo

Saizi lolote nalokutana nalo,ilimradi naweza kulifanya, Nafanya.

Nmekuja kugundua mambo ya malengo. Unapojikuta hujayafikia Unakua na msongo wa mawazo.
 
Sijaweka malengo

Saizi lolote nalokutana nalo,ilimradi naweza kulifanya, Nafanya.

Nmekuja kugundua mambo ya malengo. Unapojikuta hujayafikia Unakua na msongo wa mawazo.
Niliwahi kufanya Kama wewe, nilichoambulia ni kula starehe tu.

Yaani kila hela niliyoipata nikawa nawaza kuitumbua tu

Baada ya kuanza kuset goal nimejikuta na make
 
Kwa mwaka huu 2020 Malengo niliyojiwekea.

1) nimeshalima heka 10 za mpunga mbegu Ndefu(Malolo) kesho naenda Moro
 
Kumalizia ujenzi wa nyumba,na kuendelea kulima sana...
Hongera sana, unalima mazao gani Mkuu?

Niliwahi kuona faida kidogo ya Korosho ndio ikanitia wazimu.
 
Kwa mwaka huu 2020 Malengo niliyojiwekea.

1) nimeshalima heka 10 za mpunga mbegu Ndefu(Malolo) kesho naenda Moro
Hongera Mkuu kwa kuweza kuset goals

Hivi kumbe Malolo mpunga unakubali? Nilidhani kule ni Vitunguu tu
 
Back
Top Bottom