Mwaka Mpya 2021 umeanza; umejiwekea Malengo yapi? Malengo yangu niliyojiwekea ni haya

Balaaa lake hapo unaweza opoa paka shume halitazamiki asubuhi
Hiyo inatokea kama unapiga vyombo Sana then unaopoa at the same time

Kama unapiga ado ado huwezi kukumbana na hizo ajali πŸ˜‚
 
Malengo yangu ni, work hard, spend less, save more...my spending has left so much to be desired.
 
Kule kuna umafia na mauzauza mengi sana. Inahitaji iwe na roho ngumu sana.
Nitajaribu Mwaka huu, nimeshakuja kukita kambi kutafuta maeneo ya kuchimba.

Nikiona wanaleta habari za kutoana Makafara ndiyo nitaachana na hiyo biashara
 
Malengo yangu ni, work hard, spend less, save more...my spending has left so much to be desired.
Hiyo mbinu yako niliwahi kuitumia, to be honest ilinisaidia Sana
 
watakuja tu inbobo...ulimbo mkali huu...mitano tena
 
watakuja tu inbobo...ulimbo mkali huu...mitano tena
Unadhani tukiacha kukumbushana kama hivi unategemea nani aje akukumbushe?

Unaikumbuka nyimbo ya Twanga Pepeta, Fainali Uzeeni

Keep fighting man πŸ’ͺ
 
ha
haraka haraka investment zako kama zipo Tanzania nzima..dhahabu shinyanga/mbeya appartment arusha/dar es salaam dodoma, korosho-mtwara/newala....hongera unaweza break down tuone unataka wekeza kiasi gani
 
ha

haraka haraka investment zako kama zipo Tanzania nzima..dhahabu shinyanga/mbeya appartment arusha/dar es salaam dodoma, korosho-mtwara/newala....hongera unaweza break down tuone unataka wekeza kiasi gani
Why should I tell every thing Sir.

Gharama za uwekezaji huwa zinatofautiana kutoka eneo moja hadi lingine.

Mind, you can also do your Maths to have preliminary costs for the type of investment that I do and share them here.

Mines let keep for myself. I am sorry
 
Even wastaafu tuna mipango uuuuwiii, nifungue fresh food niweke na two rooms for renting na niwe na serving ya kuamkia mwakani. God knows will do
 
Even wastaafu tuna mipango uuuuwiii, nifungue fresh food niweke na two rooms for renting na niwe na serving ya kuamkia mwakani. God knows will do
Hiyo imekaa bomba Sana πŸ‘πŸ‘πŸ‘

Muhimu serving ipatikane by hooks and crooks

Kumbe Pension umeanza kulipwa? Tukaribishane kuila wote πŸ˜‹
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…