BUMIJA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 5,950
- 11,295
Wadau wasalaam.Toka nizaliwe sijawahi kulala Police ila tarehe 2 nililala. wadau pale nilivua viatu na nikakaguliwa nikawakuta jamaa wawili wakituhumiwa kuiba ndizi na kuku.
Wadau pale sakafuni palikua na baridi la kufa mtu na sio poa.
Ndugu zangu fanya yote ila pale sio poa yani.
Tarehe 3 nilipata dhamana nikatoka ila mpaka sasa kisaikolojia sipo sawa wadau.
Kosa ni mambo ya kusherehekea kupita kiasi na kuleta chaos kitaa.
Wadau Police sio poa
Wadau pale sakafuni palikua na baridi la kufa mtu na sio poa.
Ndugu zangu fanya yote ila pale sio poa yani.
Tarehe 3 nilipata dhamana nikatoka ila mpaka sasa kisaikolojia sipo sawa wadau.
Kosa ni mambo ya kusherehekea kupita kiasi na kuleta chaos kitaa.
Wadau Police sio poa
