Mwaka mpya niliulia Cello ya Police

Mwaka mpya niliulia Cello ya Police

BUMIJA

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2011
Posts
5,950
Reaction score
11,295
Wadau wasalaam.Toka nizaliwe sijawahi kulala Police ila tarehe 2 nililala. wadau pale nilivua viatu na nikakaguliwa nikawakuta jamaa wawili wakituhumiwa kuiba ndizi na kuku.
Wadau pale sakafuni palikua na baridi la kufa mtu na sio poa.
Ndugu zangu fanya yote ila pale sio poa yani.
Tarehe 3 nilipata dhamana nikatoka ila mpaka sasa kisaikolojia sipo sawa wadau.
Kosa ni mambo ya kusherehekea kupita kiasi na kuleta chaos kitaa.
Wadau Police sio poa
 
Wadau wasalaam.Toka nizaliwe sijawahi kulala Police ila tarehe 2 nililala. wadau pale nilivua viatu na nikakaguliwa nikawakuta jamaa wawili wakituhumiwa kuiba ndizi na kuku.
Wadau pale sakafuni palikua na baridi la kufa mtu na sio poa.
Ndugu zangu fanya yote ila pale sio poa yani.
Tarehe 3 nilipata dhamana nikatoka ila mpaka sasa kisaikolojia sipo sawa wadau.
Kosa ni mambo ya kusherehekea kupita kiasi na kuleta chaos kitaa.
Wadau Police sio poa
Kumbe umekaa siku moja tu!! Omba usije enda cello ya pale central shimoni, hujui ni asubui au mchana au usiku
 
Wadau wasalaam.Toka nizaliwe sijawahi kulala Police ila tarehe 2 nililala. wadau pale nilivua viatu na nikakaguliwa nikawakuta jamaa wawili wakituhumiwa kuiba ndizi na kuku.
Wadau pale sakafuni palikua na baridi la kufa mtu na sio poa.
Ndugu zangu fanya yote ila pale sio poa yani.
Tarehe 3 nilipata dhamana nikatoka ila mpaka sasa kisaikolojia sipo sawa wadau.
Kosa ni mambo ya kusherehekea kupita kiasi na kuleta chaos kitaa.
Wadau Police sio poa
Ungeleta Chaos na humo utuo
 
Wadau wasalaam.Toka nizaliwe sijawahi kulala Police ila tarehe 2 nililala. wadau pale nilivua viatu na nikakaguliwa nikawakuta jamaa wawili wakituhumiwa kuiba ndizi na kuku.
Wadau pale sakafuni palikua na baridi la kufa mtu na sio poa.
Ndugu zangu fanya yote ila pale sio poa yani.
Tarehe 3 nilipata dhamana nikatoka ila mpaka sasa kisaikolojia sipo sawa wadau.
Kosa ni mambo ya kusherehekea kupita kiasi na kuleta chaos kitaa.
Wadau Police sio poa
kama wadau,
tunafurahi sana umejifunza na kurekebishika tabia kwa haraka sana gentleman,

well done, welcome uraiani once again and happy new year :KasugaYeah: :ClapHD:
 
Back
Top Bottom