Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alitiwa seroBado sijakuelewa mkuu
Ulifanya nini?
Wadau wasalaam.Toka nizaliwe sijawahi kulala Police ila tarehe 2 nililala. wadau pale nilivua viatu na nikakaguliwa nikawakuta jamaa wawili wakituhumiwa kuiba ndizi na kuku.
Wadau pale sakafuni palikua na baridi la kufa mtu na sio poa.
Ndugu zangu fanya yote ila pale sio poa yani.
Tarehe 3 nilipata dhamana nikatoka ila mpaka sasa kisaikolojia sipo sawa wadau.
Kosa ni mambo ya kusherehekea kupita kiasi na kuleta chaos kitaa.
Wadau Police sio poa
Alilewa kupitia kiasi akasheherekea kwa vurugu.Bado sijakuelewa mkuu
.
Ulifanya nini?