Mwaka mpya niliulia Cello ya Police


Ni kweli aiseee ,polisi kwa watu walionyooka na kuingia kwa bahati mbaya hapafai...huko panafaa waliopinda tangia mtaani.
 
Bado sijakuelewa mkuu
.
Ulifanya nini?
Alilewa kupitia kiasi akasheherekea kwa vurugu.
Kama sakafu ilikuwa baridi ndivyo inavyotakiwa kuwa.
Siye bila sababu Ile sehemu inaitwa "The Cooler",mahali ambapo hasira Kali zinapungua.
Au furaha zilizopitiliza.
 
Mwanetu we unaonekana mdebwedo (mchelemchele) kwa sana yaani kulala siku 1 police post ndo una stress sasa ungeenda staki shari au segerea si ungeliwa kiboga bila woga wewe halafu ungeludi mweupe peeeeeeh
 
Unasherehekea mpaka unaleta fujo! Uzuri siku za sikukuu doria za POLISI huongezwa.
Siku nyingine jifunze, fujo za baani na ugomvi wa hovyo havifai.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…