Mwaka mpya wa 2012: Tuimarishe ndoa zetu…


....mzee, hili nadhani ni ngumu kumesa kwa wanaume wengi tofauti na kina mama, ...ila ukimletea mke mtoto baada ya ndoa, huo moto wake kuuzima labda aje ziraili!

Mkuu hapa umemaliza kila kitu.....






Watoto waliopatikana kabla ya ndoa….Hili ni gumu sana especially kwa wanawake kuliko kwa wanume….Linachangiaje ku-destabilize ndoa??...Naomba michango ya wadau!!


Babuu hili suala wajukuu zako wengine tuliowahi kucheza mechi za mchangani na linatupa mtihani hadi kufikia kuapa kuwa labda ndoa itafuata wakati hawa wakina Malaika weshakuwa watu wazima kabisa.....
 

Nice one kiongozi, congratulations nyingi kwa kufanikiwa kujiweka huru,...
i hope na wengineo wengi walio na makufuli haya shingoni wana la kujifunza toka kwako.
Heri ya mwaka mpya bana.
 
duhhhhh,....anyway, bado na masaa 24 yajayo ya kubadilisha mawazo,...maazimio sio katiba kwamba lazima iwe hivyo....

Hahahhaa. . ni kama katiba ya bongo.

Ngoja niweke MAPENZI -"undecided" ili chochote kitakachotokea na kitokee.
 
Yaani wangu Lizzy we acha haya mambo usitake kujua zaidi...
Sasa hapo usitake kujua nilikuwa mitaa gani hapo..... lol

jG umenifanya nitake kujua zaidi ya mwanzo.

Ila ngoja tuache hicho kipande, je angefika leo hii ungetuhadithia nini?Kwamba hutaki ndoa maana uaminifu ni ZERO (0)?
 
jG umenifanya nitake kujua zaidi ya mwanzo.

Ila ngoja tuache hicho kipande, je angefika leo hii ungetuhadithia nini?Kwamba hutaki ndoa maana uaminifu ni ZERO (0)?

Ushaanza kuchimba zaidi, umemuacha yule aliyekuwa blocked kwenye FB lol.....
Yah suala la uaminifu lazima lijadiliwe na ntachangia kwa herufi kubwa zote

 
Ushaanza kuchimba zaidi, umemuacha yule aliyekuwa blocked kwenye FB lol.....
Yah suala la uaminifu lazima lijadiliwe na ntachangia kwa herufi kubwa zote

Hahahaha. . . ngoja nifanye kublock watu FB iwe resolution yangu ya mwaka mpya.

Jadili basi uaminifu, siku hiyo ulikua umekusudia kupima kama bado wapo wenye nao?
 
mbona maisha yatakuwa magumu sana
tucheat tu.
 
swala la ndoa lina pande mbili kama sarafu,inahitaji miujiza
 
kulikuwa na umuhimu gani kuwa na small house?je kwa sasa nyumba ndogo na kubwa wapi unaona kuzuri ungepewa uhuru?
 

A good grandfather ever seen before.
Saluteeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
sawa babu - tuimarishe & same time usikoseshe wengine/wapembeni utamu - hahahaha
 
Mkuu DC, nilitaka nikugongeee big like lakini bado najishauri but anyway ngoja nigonge tu!!!

Umemwaga MAPOINT ya nguvu, ukafika hapa kwenye red ukaharibu banaaa..


4. Uaminifu….Hapa ni pagumu sana ila ni eneo nyeti…Ukishindwa basi tumia kanuni ambazo wadau walileta na kujadili hapa….Cheating should be avoided but doing it responsively ni sehemu ya uungwana kwenye ndoa


 

Katika kila fani hata kwenye tiba, huwezi kuwa dawa ambayo itawatibu watu wote. Sasa hao ambao hawawezi kutibiwa na dawa tutayoitaka tuwaache waangamie?

Unaelewa kwa nini control ya HIV/AIDS inategemea sana A, B, and C badala ya A na B peke yake?

Tupe basi maoni yako,

Happy New Year,

Babu DC!!
 
Mkuu hapa umemaliza kila kitu.....



Babuu hili suala wajukuu zako wengine tuliowahi kucheza mechi za mchangani na linatupa mtihani hadi kufikia kuapa kuwa labda ndoa itafuata wakati hawa wakina Malaika weshakuwa watu wazima kabisa.....

Niliposema kuwa suala la watoto wa kabla ya ndoa ni gumu kwa mwanamke, nilimaanisha kuwa inakuwa vigumu kwa wanaume kuwakubali wanawake wenye watoto na kwa hiyo inakuwa vigumu kwa wanawake kupata wanaume wa kuwaoa au kuwa na ndoa imara wanapokuwa na watoto kabla ya kukutana na hao wanaume.

2. Watoto waliopatikana kabla ya ndoa….Hili ni gumu sana especially kwa wanawake kuliko kwa wanume….Linachangiaje ku-destabilize ndoa??...Naomba michango ya wadau!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…