Habari zenu wana JF!
Nianze ktk mada, mim ni kijana wa kiume ambaye nipo ktk ndoa kwa muda wa mwaka sasa ila cjabahatika mtoto.mpaka sasa huwa nahic labda nakosea timing ya kutupia madude,plz kwa wale wenye watoto kuanzia wawili kwenda mbele naomben msaada wa timing nzuri ya kutupia ili nijaribu kwan napenda kupata watoto kwa sasa
Nianze ktk mada, mim ni kijana wa kiume ambaye nipo ktk ndoa kwa muda wa mwaka sasa ila cjabahatika mtoto.mpaka sasa huwa nahic labda nakosea timing ya kutupia madude,plz kwa wale wenye watoto kuanzia wawili kwenda mbele naomben msaada wa timing nzuri ya kutupia ili nijaribu kwan napenda kupata watoto kwa sasa