Mwaka umeisha kuna Mwana jf yeyote mwenye siku hata elf 50 kweli?

Mwaka umeisha kuna Mwana jf yeyote mwenye siku hata elf 50 kweli?

Dah!!..nimezeeka kwa kweli.[emoji3]
Screenshot_20190101-135425.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua siku 50,000 ni sawa na miaka 137?


Aman kwenu wazazi

Leo nimesikitikita sana baada ya kufanya mahesabu kuwa Nina siku ngap dunian toka nizaliwe nimeshangaa sana kukuta Nina siku elf saba tu

Nimeshangaa sana nilijua kuwa nitakuwa hata Nina siku laki kwa malaki kumbe et Nina vi siku elf saba tu

Dah vitu vingine bhana ebhu nawe Mwana jf calculate siku zako ili tujue kuwa una siku ngapi dunian hapa

Kuna Mwana jf kweli humu atakuwa japo na siku elf 50

Babu mshana na bibi faiza sijui wao wanaweza fikisha hata siku ngap

London boyView attachment 982384

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini umezidisha na360?
Kwani mwaka una siku ngapi?
 
Back
Top Bottom