Mwaka umeisha wale ambao bado tunaish kwa wazaz tukutane hapa ni lin tutajitegemea?

Ndio maana nikasema kuwa unaweza ukawa unadiscuss Mambo ya chumbani na mwanao wa kumzaa...!!!
Lakin mkuu ni fresh tu si mnatumia id fake

Lakin mbaya zaid ni kwenda pm kwa maza afu ukamchana mistar

Maraaa paaap anatuma picha yake
 
Ukishapanga na ukaona vyuma vimekaza usije ukaanza kujiunga na kambi rasmi ya wapingaji a.k.a makamanda
 
Mfano ukajenga kwenye kiwanja cha babako au kwenu ukawa unaishi na wazaz wako nawe unahesabiwa kwamba bado uko kwenu?
 
Kuna umri ukiendelea kukaa nyumban unaonekana mduwanzii..... Auwezi Kwenda mezani Kula kabla aujamsalimia baba au mama hata kama unamiliki ufunguo wa vitz au IST lazima uwe mdogo tu..... Alafi kuna washikaji wengine wanafanya kazi na mshahara mzuri akirudi home kutoka job awezi kubeba mkate, matunda, blueband Kila kitu anagombania na wadogo zake Colgate, baby care hadi sabuni YA kuogea tena yeye Ndio anaimaliza kwa kupigia nyeto..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…