Mwaka Usiishie Bila Kuanza Ujenzi Japo Hatua Moja - Vijumba vya Tofali na Bati Chache

Mwaka Usiishie Bila Kuanza Ujenzi Japo Hatua Moja - Vijumba vya Tofali na Bati Chache

Nyumba Nafuuu

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2016
Posts
408
Reaction score
437
Nimekuletea sample specific za ramani za nyumba za Tofali (~2000) na Bati (~60) Chache

Gharama zilizooneshwa hapo ni wastani wa za kujenga Msingi, kuta, plasta na paa (vifaa + ufundi)

Zipo vyumba vitatu, viwili na kimoja

Hamna nyumba ya vyumba vitatu utakayopata yenye unafuu na standard kama hii
- tunayo list ya nyumba 400 kwa website yetu, JF hawaruhusu link, waweza search Google MAKAZI RAMANI au nione inbox kwa namba yangu nikutumie

+255-657-685-268

Vijana mwaka Usiishie bila hata hatua moja mbele ktk ujenzi wa nyumba yako!

IMG-20241216-WA0007.jpg
 
Mhm nyumba ya mil 14 ya vyumba vi 3 na sebule tu , toa mchanganuo wake mkuu🤔
 
Nimekuletea sample specific za ramani za nyumba za Tofali (~2000) na Bati (~60) Chache

Gharama zilizooneshwa hapo ni wastani wa za kujenga Msingi, kuta, plasta na paa (vifaa + ufundi)

Zipo vyumba vitatu, viwili na kimoja

Hamna nyumba ya vyumba vitatu utakayopata yenye unafuu na standard kama hii
- tunayo list ya nyumba 400 kwa website yetu, JF hawaruhusu link, waweza search Google MAKAZI RAMANI au nione inbox kwa namba yangu nikutumie

+255-657-685-268

Vijana mwaka Usiishie bila hata hatua moja mbele ktk ujenzi wa nyumba yako!

View attachment 3177943
Ungetuma na real picture ingekuwa poa
 
Nenda Google search

"House Plan ID-26508, 1 bedrooms, 700+315 bricks and 26 corrugates"

Ramani zetu online kwa website, I can't put link here JF hawaruhusu link
Nimeenda nimekuta michoro hakuna real house au hamna mlizojenga tukaona
 
Back
Top Bottom