Nyumba Nafuuu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2016
- 408
- 437
Soma maelezo vyema mkuu, hilo ni BOMAMhm nyumba ya mil 14 ya vyumba vi 3 na sebule tu , toa mchanganuo wake mkuu🤔
Ungetuma na real picture ingekuwa poaNimekuletea sample specific za ramani za nyumba za Tofali (~2000) na Bati (~60) Chache
Gharama zilizooneshwa hapo ni wastani wa za kujenga Msingi, kuta, plasta na paa (vifaa + ufundi)
Zipo vyumba vitatu, viwili na kimoja
Hamna nyumba ya vyumba vitatu utakayopata yenye unafuu na standard kama hii
- tunayo list ya nyumba 400 kwa website yetu, JF hawaruhusu link, waweza search Google MAKAZI RAMANI au nione inbox kwa namba yangu nikutumie
+255-657-685-268
Vijana mwaka Usiishie bila hata hatua moja mbele ktk ujenzi wa nyumba yako!
View attachment 3177943
Nenda Google searchUngetuma na real picture ingekuwa poa
Nimeenda nimekuta michoro hakuna real house au hamna mlizojenga tukaonaNenda Google search
"House Plan ID-26508, 1 bedrooms, 700+315 bricks and 26 corrugates"
Ramani zetu online kwa website, I can't put link here JF hawaruhusu link
Nitakuja na posti ya nyumba nyingine mkuu"Vijumba vya tofali na bati chache" tuwe kee na "Majumba ya Tofali na Mabati Mengi".
Ramani bei ga i ya two bedroomNitakuja na posti ya nyumba nyingine mkuu