Mwaka wa taabu ni wa taabu. Kipindupindu chavamia Kenya kwa nguvu

Mwaka wa taabu ni wa taabu. Kipindupindu chavamia Kenya kwa nguvu

Kama hivyo vifo vitakua 1000 bc watakua waliokufa wengi wakenya sio watanzania maana kila mtu angekua kashaguswa na maiba saa hizi
Tangu kesi za corona Tz zifike 500 hatujawahi sikia tena data tena na pia Kuna rumors zasema kuwa cases in Tz zimefika 100,000 na vifo zaidi ya 1000 Ila kwa Nchi ya kuficha na kuminya Uhuru wa media hatuwezi bainisha ukweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom