Mwaka wa tatu sasa sijatongoza wadada wa MMU

We mtu unatisha sana una energy sana naona una persistence ya nguvu sana [emoji23]

Baby habari za siku nyingi...... Tumepotezana kama sarafu ya shilingi 5 hehehhehehee.

Huko uliko ukimuona Tized mwambie aje achukue kofia yake ya toyo aliniachia.

Ukimuona Tyta mwambie kuna mahali nimeiona kamera yake anitafute nimwambie namna ya kuipata.

Ukimuona Sergio aka Roger Sterling mwambie my lens glasses are on.

Kasinde Mtulivu.
 
Jamani mpenzi wangu mimi huyo you are forever living my love ,You are my Beyonce U know bebe Kasie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…