Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Makamu mwenyekiti wa klabu ya YANGA FC Fedrick Mwakalebela amesema kuwa simba haiwezi. Kumaliza ndani ya top four mwishoni mwa msimu huu
Mwakalebela amezitaja timu ambazo zitamaliza Top Four mwishoni mwa msimu wa ligue ya NBC Premier kuwa ni
1. Yanga
2. Azam
3. Mbeya city
4. Polisi
Je, kwa mwenendo wa ligue unazani ni kweli utabiri wa mwakalebela utatimia kweli?
GENTAMYCINE
ChamasonMorisonBwalyason
Scars
okwi boban sunzu
Mwakalebela amezitaja timu ambazo zitamaliza Top Four mwishoni mwa msimu wa ligue ya NBC Premier kuwa ni
1. Yanga
2. Azam
3. Mbeya city
4. Polisi
Je, kwa mwenendo wa ligue unazani ni kweli utabiri wa mwakalebela utatimia kweli?
GENTAMYCINE
ChamasonMorisonBwalyason
Scars
okwi boban sunzu