Huyo mtu apunguze kwanza uzito asituzingue..Eeee bhana mkuu hii kitu ni kweli ?
Ila kiongozi kuongea maneno kama hayo ni kukosa weledi. Ni kama vile kupanga matokeo. Hilo ni kosa kubwa sana kwenye mchezo wa mpira wa miguu, viongozi wajitambue kuna maneno ya kuongea mashabiki na kuna maneno ya kuongea kiongoziAyo maneno angesema injinia labda ningetilia maanani ila sio uyo.
Watanzania huwa tunashindwa kujizuiaIla kiongozi kuongea maneno kama hayo ni kukosa weledi. Ni kama vile kupanga matokeo. Hilo ni kosa kubwa sana kwenye mchezo wa mpira wa miguu, viongozi wajitambue kuna maneno ya kuongea mashabiki na kuna maneno ya kuongea kiongozi
anajua hujuma wanazopanga gizani dhidi ya simba. Ila anajidanganya.Labda Kuna vitu kaviona
Kwani hujui kwamba uzito na thinking vina husianika? fanya tafiti!Uzito una relate vp na kauli aliyoitoa?
Uyo hata injinia amuweki karibu kwasababu ni mzigo tu hana alijualo zaidi ya kufuga ndambi na kulilia kiporo cha wali cha watoto nyumbani kwake.Kwann