Lolote linawezekana boss, hata Yanga pia wapo kwenye mbio za ubingwa.Kuna watu wanawadanganya yanga watakuwa mabingwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Mechi zimebaki 7 ambazo ni point 21.
Yanga kamzidi Simba points 8.
Unapata wapi kiburi Cha kuwapa yanga ubingwa?View attachment 2221686
Ni maoni yake ana haki kuyatoa lakini hayaakisi uhalisiaKupitia ukurasa wa Twitter wa Darmpya Blog, imemnukuu Fredrick Mwakalebela akisema "Simba jana (Dhidi ya Kagera Sugar) wamefunga goli la Offside, goli la pili lilikuwa ni la Offside, goli la John Bocco lilikuwa ni Offside, mimi nilidhani ni beki wa Kagera kumbe ni John Bocco, Simba inafunga magoli mengi ya Offside" - Mwakalebela Makamu Mwenyekiti wa Yanga Sc"
Haya ndio maoni ya kiongozi wa Yanga, Fredrick Mwakalebela, anadai kuwa Simba inafunga magoli ya offside. Huyu jamaa nimeanza kumdharau sasa, hajui anachoongea, amechanganyikiwa sasa..
Timu zote zitakuwa na mechi ngumu siku zijazo, hii ngwe ya lala salama sio rahisiKuwapa watu ubingwa na zimebaki points 21 ni matumizi mabaya ya neno UBINGWA..
Timu zote zitakuwa na mechi ngumu siku zijazo, hii ngwe ya lala salama sio rahisi
Yanga kadroo nne,Simba kadroo tatu,shida nini!?Sasa si mpaka ashinde.
Na simba nae kasimama tu?
Timu yenyewe imesharudi kwenye ubovu wake.
Yanga kadroo nne,Simba kadroo tatu,shida nini!?
Wacha,yanga anadroo Simba anashinda tuTatizo mmeshaanza kupoteana.
Points 8 ni ndogo Sana.
jumapili mkidroo zitabaki points 9.
Simba ikishinda zitabaki points 6.
Ambazo ni ushindi wa mechi 2 tu tunawakuta.
Tunajua PUMZI IMEKATA.
hii yanga ya droo droo ndo yenyewe.
Leo umekuwa Yanga,unajifanya Yanga ili kuhararisha magoli ya offside?Mimi ni Yanga,ila hakuna offside pale
Ktk post yangu jana ya mbinu chafu za simba nililisema hili goli..tatizo wa tz wengi nyerere alitutoa nyongo...ni watu wa hewala hewala ...hata kufikiri kdg hakuna!Kupitia ukurasa wa Twitter wa Darmpya Blog, imemnukuu Fredrick Mwakalebela akisema "Simba jana (Dhidi ya Kagera Sugar) wamefunga goli la Offside, goli la pili lilikuwa ni la Offside, goli la John Bocco lilikuwa ni Offside, mimi nilidhani ni beki wa Kagera kumbe ni John Bocco, Simba inafunga magoli mengi ya Offside" - Mwakalebela Makamu Mwenyekiti wa Yanga Sc"
Haya ndio maoni ya kiongozi wa Yanga, Fredrick Mwakalebela, anadai kuwa Simba inafunga magoli ya offside. Huyu jamaa nimeanza kumdharau sasa, hajui anachoongea, amechanganyikiwa sasa..
Sio yanga wewe ngoja liwekwe hpMimi ni Yanga,ila hakuna offside pale
Hahaha wamepagawaaaKupitia ukurasa wa Twitter wa Darmpya Blog, imemnukuu Fredrick Mwakalebela akisema "Simba jana (Dhidi ya Kagera Sugar) wamefunga goli la Offside, goli la pili lilikuwa ni la Offside, goli la John Bocco lilikuwa ni Offside, mimi nilidhani ni beki wa Kagera kumbe ni John Bocco, Simba inafunga magoli mengi ya Offside" - Mwakalebela Makamu Mwenyekiti wa Yanga Sc"
Haya ndio maoni ya kiongozi wa Yanga, Fredrick Mwakalebela, anadai kuwa Simba inafunga magoli ya offside. Huyu jamaa nimeanza kumdharau sasa, hajui anachoongea, amechanganyikiwa sasa..
Mimi ni yanga ambaye sio UtopoloLeo umekuwa Yanga,unajifanya Yanga ili kuhararisha magoli ya offside?