Mwakalebela: Simba inafunga magoli ya offside

Mwakalebela: Simba inafunga magoli ya offside

Kupitia ukurasa wa Twitter wa Darmpya Blog, imemnukuu Fredrick Mwakalebela akisema "Simba jana (Dhidi ya Kagera Sugar) wamefunga goli la Offside, goli la pili lilikuwa ni la Offside, goli la John Bocco lilikuwa ni Offside, mimi nilidhani ni beki wa Kagera kumbe ni John Bocco, Simba inafunga magoli mengi ya Offside" - Mwakalebela Makamu Mwenyekiti wa Yanga Sc"

Haya ndio maoni ya kiongozi wa Yanga, Fredrick Mwakalebela, anadai kuwa Simba inafunga magoli ya offside. Huyu jamaa nimeanza kumdharau sasa, hajui anachoongea, amechanganyikiwa sasa..
Ni maoni yake ana haki kuyatoa lakini hayaakisi uhalisia
 
😂

20328C7E-259C-427E-B0BA-C0AB2B7D985E.jpeg
 
Tatizo mmeshaanza kupoteana.
Points 8 ni ndogo Sana.
jumapili mkidroo zitabaki points 9.
Simba ikishinda zitabaki points 6.
Ambazo ni ushindi wa mechi 2 tu tunawakuta.
Tunajua PUMZI IMEKATA.
hii yanga ya droo droo ndo yenyewe.
Yanga kadroo nne,Simba kadroo tatu,shida nini!?
 
Tatizo mmeshaanza kupoteana.
Points 8 ni ndogo Sana.
jumapili mkidroo zitabaki points 9.
Simba ikishinda zitabaki points 6.
Ambazo ni ushindi wa mechi 2 tu tunawakuta.
Tunajua PUMZI IMEKATA.
hii yanga ya droo droo ndo yenyewe.
Wacha,yanga anadroo Simba anashinda tu
 
Kupitia ukurasa wa Twitter wa Darmpya Blog, imemnukuu Fredrick Mwakalebela akisema "Simba jana (Dhidi ya Kagera Sugar) wamefunga goli la Offside, goli la pili lilikuwa ni la Offside, goli la John Bocco lilikuwa ni Offside, mimi nilidhani ni beki wa Kagera kumbe ni John Bocco, Simba inafunga magoli mengi ya Offside" - Mwakalebela Makamu Mwenyekiti wa Yanga Sc"

Haya ndio maoni ya kiongozi wa Yanga, Fredrick Mwakalebela, anadai kuwa Simba inafunga magoli ya offside. Huyu jamaa nimeanza kumdharau sasa, hajui anachoongea, amechanganyikiwa sasa..
Ktk post yangu jana ya mbinu chafu za simba nililisema hili goli..tatizo wa tz wengi nyerere alitutoa nyongo...ni watu wa hewala hewala ...hata kufikiri kdg hakuna!
 
Utopolo bhana,wakiona mchezaji amekuwa na kasi mbele ya mpinzani kwao ni offside.Na waliofungwa wala hawalalamiki maana wanajua ukweli.

Nawakumbusha tu kuwa, sasa hivi timu zinapambania kubaki premier kwa hiyo hazichukui bahasha.Chezeni kwa uwezo wenu tu,siyo kijidanganya mayele mayele
 
Kupitia ukurasa wa Twitter wa Darmpya Blog, imemnukuu Fredrick Mwakalebela akisema "Simba jana (Dhidi ya Kagera Sugar) wamefunga goli la Offside, goli la pili lilikuwa ni la Offside, goli la John Bocco lilikuwa ni Offside, mimi nilidhani ni beki wa Kagera kumbe ni John Bocco, Simba inafunga magoli mengi ya Offside" - Mwakalebela Makamu Mwenyekiti wa Yanga Sc"

Haya ndio maoni ya kiongozi wa Yanga, Fredrick Mwakalebela, anadai kuwa Simba inafunga magoli ya offside. Huyu jamaa nimeanza kumdharau sasa, hajui anachoongea, amechanganyikiwa sasa..
Hahaha wamepagawaaa
 
Magoli ya mchongo haya hapa
La ķwanza clear offside.
La pili kipa hataki kuokota mpira jirani yake anaachia wafungwe!!
 
Back
Top Bottom