Mwakani nahamia Nissan: Either Leaf, Note au Ariya!

Mwakani nahamia Nissan: Either Leaf, Note au Ariya!

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Bado uwezo wa kumkimbia Mjapan sina, ingawa Mchina na Mmarekani wanashawishi ila hamna jinsi.

Kwa trend anatoenda nayo Nissan kutokea 2020 aisee nadhani ndio kituo kifuatacho.

Kama nitabaki na ICE (magari ya mafuta) nitamfikiria Nissan Note 2020.
IMG_1026.jpeg

Engine ndogo 1.2L hybrid itafaa sana hapa mjini.
IMG_1027.jpeg

Kama nitakua na bajeti tight nitapambana na umeme (EV) Nissan Leaf 2020. Range ya 250 km itanitosha.
IMG_1028.jpeg

Ikitokea michongo imekaa kabisa yaani nna pesa ya kutosha, naishi EV na Nissan Ariya.
IMG_1029.jpeg

Hii kubwa lao, hadi range ya 350 km road trip inatosha kabisa.
IMG_1030.jpeg

All in all, Nissan wamejipata na Mungu abariki husstle zetu 2025.
 
Bado uwezo wa kumkimbia Mjapan sina, ingawa Mchina na Mmarekani wanashawishi ila hamna jinsi.

Kwa trend anatoenda nayo Nissan kutokea 2020 aisee nadhani ndio kituo kifuatacho.

Kama nitabaki na ICE (magari ya mafuta) nitamfikiria Nissan Note 2020. View attachment 3181793
Engine ndogo 1.2L hybrid itafaa sana hapa mjini.
View attachment 3181794
Kama nitakua na bajeti tight nitapambana na umeme (EV) Nissan Leaf 2020. Range ya 250 km itanitosha.
View attachment 3181798
Ikitokea michongo imekaa kabisa yaani nna pesa ya kutosha, naishi EV na Nissan Ariya.
View attachment 3181800
Hii kubwa lao, hadi range ya 350 km road trip inatosha kabisa.
View attachment 3181801
All in all, Nissan wamejipata na Mungu abariki husstle zetu 2025.



View: https://youtu.be/ALq2nq8F0bc?si=qb47lY6ifv9srh0_
 
Fundi atatengeneza body tu, haina engine wala transmission.
Kutengeneza gari ya umeme ni changamoto kubwa zaidi ikilinganishwa na gari ya mafuta kwa sababu kadhaa:

1. Teknolojia ya Umeme ni Ngumu Zaidi

Gari za umeme zinatumia betri za lithiamu-ion, mfumo wa kudhibiti umeme, na motor za umeme, ambazo zinahitaji utaalamu wa juu wa kielektroniki na programu.

Gari za mafuta zina mifumo ya mitambo rahisi kama injini ya mwako wa ndani, ambayo imekuwepo kwa muda mrefu na ni rahisi kwa mafundi wengi kuelewa.


2. Zana na Vifaa

Kutengeneza gari ya umeme kunahitaji vifaa maalum vya kushughulikia mifumo ya umeme yenye nguvu kubwa (high voltage).

Mafundi wengi tayari wana vifaa vya kutengeneza magari ya mafuta, ambayo ni ya kawaida zaidi.


3. Upatikanaji wa Vipuri

Vipuri vya magari ya mafuta ni vya kawaida na vinapatikana kwa urahisi.

Vipuri vya magari ya umeme bado ni ghali na vigumu kupatikana, hasa katika maeneo ambayo magari ya umeme hayajazagaa.


4. Maarifa na Uzoefu

Mafundi wengi wana uzoefu mkubwa na magari ya mafuta kutokana na umaarufu wake kwa miaka mingi.

Teknolojia ya magari ya umeme ni mpya, na mafundi wengi bado hawajapata mafunzo ya kutosha kuyashughulikia.


Kwa hivyo, ni rahisi zaidi kwa fundi wa kawaida kutengeneza gari ya mafuta kuliko gari ya umeme. Hata hivyo, kadri teknolojia ya umeme inavyozidi kushika kasi, hali hii inaweza kubadilika.
 
Kutengeneza gari ya umeme ni changamoto kubwa zaidi ikilinganishwa na gari ya mafuta kwa sababu kadhaa:

1. Teknolojia ya Umeme ni Ngumu Zaidi

Gari za umeme zinatumia betri za lithiamu-ion, mfumo wa kudhibiti umeme, na motor za umeme, ambazo zinahitaji utaalamu wa juu wa kielektroniki na programu.

Gari za mafuta zina mifumo ya mitambo rahisi kama injini ya mwako wa ndani, ambayo imekuwepo kwa muda mrefu na ni rahisi kwa mafundi wengi kuelewa.


2. Zana na Vifaa

Kutengeneza gari ya umeme kunahitaji vifaa maalum vya kushughulikia mifumo ya umeme yenye nguvu kubwa (high voltage).

Mafundi wengi tayari wana vifaa vya kutengeneza magari ya mafuta, ambayo ni ya kawaida zaidi.


3. Upatikanaji wa Vipuri

Vipuri vya magari ya mafuta ni vya kawaida na vinapatikana kwa urahisi.

Vipuri vya magari ya umeme bado ni ghali na vigumu kupatikana, hasa katika maeneo ambayo magari ya umeme hayajazagaa.


4. Maarifa na Uzoefu

Mafundi wengi wana uzoefu mkubwa na magari ya mafuta kutokana na umaarufu wake kwa miaka mingi.

Teknolojia ya magari ya umeme ni mpya, na mafundi wengi bado hawajapata mafunzo ya kutosha kuyashughulikia.


Kwa hivyo, ni rahisi zaidi kwa fundi wa kawaida kutengeneza gari ya mafuta kuliko gari ya umeme. Hata hivyo, kadri teknolojia ya umeme inavyozidi kushika kasi, hali hii inaweza kubadilika.
Achana na ChatGPT Snipper. Chuma inakuja, fundi mwenyewe na mtatest drive muone.
 
Achana na ChatGPT Snipper. Chuma inakuja, fundi mwenyewe na mtatest drive muone.
Boss niko huku ila bado natumia mjerumani na wese ila ya umeme sidhani kama nitanunua
Sauti muhimu kwangu 😄
Hebu imagine race without sound
Ipo moja ya mchina hapa naiona labda uiangalie na hiyo inaitwa BYD Atto 3 au Build Your Dream
Ina muonekano mzuri
Hiyo Note nilikuwa nayo wakati zinatoka tu nikataka Auto wakasema nisubiri miezi 2 ndio Nikaletewa ilikuwa gari nzuri sana kwa familia na space ndani ilikuwa kubwa kwa familia
Ila kama utannunua ya umeme utaleta mrejesho hapa
 
Nissan gari zao nyingi ziko vizuri
Nilijaaliwa kuwa na Nissan Skyline 2 kwa nyakati tofauti na Nissan Stanza na Patrol mpya
Nawakubali sana hawa jamaa
Kusema kweli kuna mahala wamekosea ndio maana sahivi wanapitia msoto.

Sema Nissan na Japan watakosa masoko kwote ila wateja wa nyumbani kwao JP ni loyal sana.

Kama ilivyo US na watu wa nyumbani kwaso.
 
Boss niko huku ila bado natumia mjerumani na wese ila ya umeme sidhani kama nitanunua
Sauti muhimu kwangu 😄
Hebu imagine race without sound
Ipo moja ya mchina hapa naiona labda uiangalie na hiyo inaitwa BYD Atto 3 au Build Your Dream
Ina muonekano mzuri
Hiyo Note nilikuwa nayo wakati zinatoka tu nikataka Auto wakasema nisubiri miezi 2 ndio Nikaletewa ilikuwa gari nzuri sana kwa familia na space ndani olikuwa kubwa kwa familia
Ila kama utannunua ya umeme utaleta mrejesho hapa
Sasa mimi sauti ndio adui yangu namba moja. Napenda kitu silent aisee. Ndio maana navutiwa na EV.

Umeme ambayo ipo ndani ya budget sahivi ni Leaf, napenda 2nd gen nikibanwa saaaana nitanunua ata 1st, ila ina battery dogo sana.

Tatizo Mchina kumpata Beforward mtiti, yaani nikiziona online chuma za BYD na bei zao nasema dah
 
Back
Top Bottom