Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
- Thread starter
- #21
Safari ya Pretoria hauendi?Kuhusu???!!🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safari ya Pretoria hauendi?Kuhusu???!!🤣🤣🤣🤣
Dua zangu ijumaa MASANDAWANA Wawa sandawana then iwe MWAKAROBO JR official 😂😂😂😂😂Hilo jina ni saizi yao mkuu maana wao ndio walibuni Mwakarobo bila kujua kuwa hata wao hilo jina ni lao Ila kuna mtangulizi wao
Dua zangu ijumaa MASANDAWANA Wawa sandawana then iwe MWAKAROBO JR official 😂😂😂😂😂
Nlipie niende we si ndo serikali yangu 😹Safari ya Pretoria hauendi?
Nenda kwa gharama zako ukiwa kama 🐸🐸fan.Nlipie niende we si ndo serikali yangu 😹
Unaongelea fainali za walioshindwa bila shaka.Yanga kaingia final msimu uliopita
Msimu huu yuko robo huku akiwa hajafungwa
#msifosi tufanane#
tulia ufundishwe jinsi ya kucheza na hizi hatua kolo wahead we...unadhani utaenda nusu kwa kufungwaUmesafiri kwenda sauzi au upo Gamboshi kupigania timu yako isiitwe Mwakarobo jr?
Egypt nikaangalie pyramid za farao? Sawa nipeleke tuNenda kwa gharama zako ukiwa kama 🐸🐸fan.
Ila kama umehamia kwa mwekundu wa Msimbazi seat yako ipo nitakupeleka Cairo kesho ukashuhudie mtifuano wa mabingwa ijumaa.
Sijasema ukaangalie pyramid za farao. Ni kuangalia mechi ya mabingwa.Egypt nikaangalie pyramid za farao? Sawa nipeleke tu
Hawa vyura wanaweza wakajisatua wakapata sare ya 1 Kwa 1 au 2 Kwa 2 wakaendaUsiwe na mashaka mkuu ni April 5 Mwakarobo jr inakuwa official [emoji23]
Labda waingize kikosi kipya, tofauti na hapo wao ni Mwakarobo jr tuHawa vyura wanaweza wakajisatua wakapata sare ya 1 Kwa 1 au 2 Kwa 2 wakaenda
Acha ufara al ahly na cr belezuidad walikupasua malindaYanga kaingia final msimu uliopita
Msimu huu yuko robo huku akiwa hajafungwa
#msifosi tufanane#
Kile kilicho kupiga [emoji2772] vipi?Labda waingize kikosi kipya, tofauti na hapo wao ni Mwakarobo jr tu
Kama ulivyochanwa nut na Ahly ukachafua shuka punguani waheadAcha ufara al ahly na cr belezuidad walikupasua malinda
😂Kama ulivyochanwa nut na Ahly ukachafua shuka punguani wahead
Hicho kilipigwa na Azam juzi juzi tu hapa mbona.Kile kilicho kupiga [emoji2772] vipi?