Mwakasege na Martha Mwaipaja wamshitaki Mbarikiwa na hivyo account yake YouTube hatarini kufutwa

Ikifutwa mnishtuwe niende kudislike kwenye alaunti zao uko YouTube
 
Una uhakika na ulichokiandika au ndo story za kusikia?
Huyo mtu alishamuona ,ajikite kwenye kueneza injili aachane na majina ya watu lkn hasikii,akaona sifa!
Mwal.hanaga muda, hajawahi na Huwa hamjibu mtu!
Hivi unapata wapi muda wa kusimama madhabahuni na kuanza kuongelea watu?
Kwamba huoni Cha kuhubiri au?
Ifike mahali madhabahu zitumike Kwa vitu sahihi sio mambo ya kijinga!
Ushauri chubguza kitu,upate uhakika kabla hujakileta kwenye public!

Huyo mtu mwenyewe chenga na ameshatukana watumishi wengi wanamuangalia tu!
Aisee
 
Hana shida mwakasege wa watu siijui hii story yao ila itakua kakosewa
Yaani baba wa watu hanaga muda na mtu
Hata asemwe,atukanwe hutakaa unisikie anajibu popote au kuongea!
Ndo kinachowapa shida

Halafu mpk abiudi wa misholi katukanwa humo!
Tena alikuwa anajidifia kabisa huyo mwakipesile
 
Mbarikiwa ungejipa muda kidogo Na mambo ya Mitandao Komaa tu na Mungu wako
Eeh ss huko jela yamkini atapata muda,
This is too much
Cha ajabu watt wake wa kiroho na mkewe wanaendelea na hayo mambo kwenye hiyo acc🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…