mnavyopeleka wala madawa ya kulevya BBA mnategemea nini?hata kama elikeem alireact ni just for defence lakini alivumilia sana hadi yakamfika kooni. Mtumia unga ni mtumia unga tu. Sijui mliwaokota wapi.
Badala ufanye kazi unafuatilia mambo yasiyo na mbele wa nyuma hiyo bba inakusaidia nini mnajaza server tu ya jf
Ujinga mtupu....huyo mhusika kwenda kuchukua kitoto kilichokwisha haribikia marekani eti kikawakilishe TZ......hakijui hata mkoa mmoja TZ kutwa nasikia chaongelea marekani wahusika mujifunze jamani mnatia aibu...
kwa kweli wahusika wa multichoice wanaochagua washiriki inabidi waliangalie hilo,kuna watu wengi tu smart wangeweza kushiriki toka tz. na bila ya bimp na wenzie kumzuia nando, mambo yangekuwa mengine,dogo matata sana.
watu gani smart watakaokubal camera ziwaonyeshe ata wakiwa bafuni wanaoga.
acha waende wehu .
mnavyopeleka wala madawa ya kulevya BBA mnategemea nini?hata kama elikeem alireact ni just for defence lakini alivumilia sana hadi yakamfika kooni. Mtumia unga ni mtumia unga tu. Sijui mliwaokota wapi.
tungekupeleka wewe vp ulikuwa wapi?!!!!
kwa kweli wahusika wa multichoice wanaochagua washiriki inabidi waliangalie hilo,kuna watu wengi tu smart wangeweza kushiriki toka tz. na bila ya bimp na wenzie kumzuia nando, mambo yangekuwa mengine,dogo matata sana.
hata Nando kumbe sio jina lake halisi
Kumbuka aliingia na kisu kwenye party kisa kumuwinda Sulu.......kweli mwaka huu sjui wamewatoa wapi
We better be fare to our souls.....Mwaka huu BBA mmebug meeeen......hata kama wamefika this far still ile ni adverse selection. Nilidhani nando ni mtu kumbe nae kiatu tu, mbona ana act sso confused?na akaficha kiwembe kwenye mto ili amchane eli, yaani anatishia kuua ktk macho ya waafrica, huyu dogo co, na watu wengi wanalalamika kwamba biggie anamchukulia poa ingawa anaviolence tele, alitakiwa awe disqualify maana ana stick moja, na hili zogo kwa rules za da chase tayari ni wa kutoka huyu
Hahaha shoga anaitwa nani? umbea sunna. Watoke tu mie nimechoka case zao, dada mtu umbea kaka mtu madawa yanampelekesha
habari mtaa huu mie bado nauliza fine a.ss keshatoka au bado?