Mwakilishi toka Tanzania kwenye shindano la big brother afrika,Nando jana usiku alikuwa kwenye ugomvi mkali na
mshiriki toka ghana elikem,niliukuta katikati sijajua chanzo lakini nimeyasikia matusi makali waliyotoleana na mpaka
nando akamrushia mkono elikem. nawasiwasi anaweza kurudishwa nyumbani leo(disqualified from the game)
wadau mnaongeleaje hii kitu,binafsi sikuana haja ya nando ku-act vile
mshiriki toka ghana elikem,niliukuta katikati sijajua chanzo lakini nimeyasikia matusi makali waliyotoleana na mpaka
nando akamrushia mkono elikem. nawasiwasi anaweza kurudishwa nyumbani leo(disqualified from the game)
wadau mnaongeleaje hii kitu,binafsi sikuana haja ya nando ku-act vile