Yusuph Issa
JF-Expert Member
- Jun 20, 2013
- 528
- 82
Mnajua kuweni fair. Hata kama si kwa public basi hata kwa nafsi zenu. Kwa aliyoyafanya nando mle na alivyokuwa anainteract na wenzake ni dhahiri kwamba kuna shida kwa yule dogo. Mimi ni mfwatiliaji mzuri wa BBA. Wewe hata Bimp humjui, unaonekana unaifwatilia BBA kwa matukio wanayopost fbook. Siwezi kuupaka uovu manukato ili uonekane mzuri hata kama ni wa nchi yangu. Narudia tena, peleka rehab fasta kabla hajabaka mtaani au hajachoma mtu kisu.
inatosha hivyo ndivyo jinsi wa tz tulivyo angeshinda mngemuongelea na hata ameshwindwa mmeongea!
jina lake la kweli ni Amir khan
Ndo hivo eviction imemfagia sulu na anaboobs. kaka yako nae ndo huyoooo ukampokee pale kipawa airport.
for sulu i didn't see it coming! yani bado siamini nilidhan elikem angetoka.... hii ishu ya nando imempa kiki elikem ameonekana mstaarabu mbele ya afrika. na west africans wamepiga sana kura kuhakikisha elikem anabaki ili kukomesha haters
Kumbuka aliingia na kisu kwenye party kisa kumuwinda Sulu.......kweli mwaka huu sjui wamewatoa wapi
acheni upuuzi hakuna mkamilifu nando alipandwa na hasira kwasababu walimkwaza stop gudge him guyz!!
Tabia za Arusha za kutembea na BETO anazileta Kwa Madiba,,Boya sana yule Dogo.
Jmosi tu imepe kick...big NO, since Onezza watangaze vita dhidi ya elikeem watu walitaka kuprove kwamba wao sio Africa so Elikem haondoki. iLA Elikeem yupo cool. Fezza anamchukia tu as hakuweza kumpata na akamchukua Pokello.
hapo kwenye bold ni statement ya mahaters ambayo siikubali hata kidogo.
walipokuwa diamond elikem alianzisha move kwa feza lkn feza aliweka pozi hakutaka kukubali haraka mpaka awe na uhakika na elikem.elikem akawa anajifanya yupo close na fatima kumuumiza feza.sikuona kama feza alimind. wiki ya pili elikem alikuwa swapped to ruby house.alivyofika huko elikim akaanzisha mahusiano na pokelo
feza alikuwa na target mbili oneal au melvin ambaye hakuonyesha dalili ya kutaka mahusiano,feza akastick kwa oneal na akahamia ruby.alimkuta kweli elikem ypo na pokelo still hakumind aliendelea kuwa na oneal wake. still alikuwa yupo cool sana na elikem mpaka wakapanga deal la kumpeleka pokelo diamond house ili elikem apumue maana pokelo alikuwa hamjali elikem
ogomvi wake na pokelo ndo ulifanya asimwamini tena elikem ndo wakawa maadui
Na ndio maana mimi siku zote napinga hawa watu kuitwa wawakilishi wa Tanzania, na badala yake watambulike kama washiriki kutoka Tanzania, mimi binafsi siko tayari mtu aitwe ni muwakilishi wangu kwenye huu ushetani.watu gani smart watakaokubal camera ziwaonyeshe ata wakiwa bafuni wanaoga.
acha waende wehu .
hapo kwenye bold ni statement ya mahaters ambayo siikubali hata kidogo.
walipokuwa diamond elikem alianzisha move kwa feza lkn feza aliweka pozi hakutaka kukubali haraka mpaka awe na uhakika na elikem.elikem akawa anajifanya yupo close na fatima kumuumiza feza.sikuona kama feza alimind. wiki ya pili elikem alikuwa swapped to ruby house.alivyofika huko elikim akaanzisha mahusiano na pokelo
feza alikuwa na target mbili oneal au melvin ambaye hakuonyesha dalili ya kutaka mahusiano,feza akastick kwa oneal na akahamia ruby.alimkuta kweli elikem ypo na pokelo still hakumind aliendelea kuwa na oneal wake. still alikuwa yupo cool sana na elikem mpaka wakapanga deal la kumpeleka pokelo diamond house ili elikem apumue maana pokelo alikuwa hamjali elikem
ogomvi wake na pokelo ndo ulifanya asimwamini tena elikem ndo wakawa maadui
Sawa kabisa kaka huwezi fananisha tabia ya mtu na taifa huko ni kuko ni kukosa uzalendo wa taifa lakoAende akadeal na anger management huko kwao.
Kubwa zima lina act childishly.
Off the court
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Na ndio maana mimi siku zote napinga hawa watu kuitwa wawakilishi wa Tanzania, na badala yake watambulike kama washiriki kutoka Tanzania, mimi binafsi siko tayari mtu aitwe ni muwakilishi wangu kwenye huu ushetani.
Sijawahi kusupport BBA hata siku moja & over my dead body i will never do it, hata Richard alivyoshinda Bingo ya BBA nilihoji na kuwauliza watu waliokwenda Airport kumpokea je walikuwa na akili timamu?wakifanya vizuri mnasema amewakilisha vizuri nchi.akiharibu mnakataa siyo mwakilishi wa tanzania bali ni mshiriki kutoka tanzania.....
wakifanya vizuri mnasema amewakilisha vizuri nchi.akiharibu mnakataa siyo mwakilishi wa tanzania bali ni mshiriki kutoka tanzania.....