- Thread starter
- #21
na akaficha kiwembe kwenye mto ili amchane eli, yaani anatishia kuua ktk macho ya waafrica, huyu dogo co, na watu wengi wanalalamika kwamba biggie anamchukulia poa ingawa anaviolence tele, alitakiwa awe disqualify maana ana stick moja, na hili zogo kwa rules za da chase tayari ni wa kutoka huyu
na jana ucku kabla ya party alikuwa ananoa kisu,rafiki yake bimp akamsihi sana asiendenacho kwenye party