Shirika la Umeme la Tanzania (TANESCO) limesema mchakato wa kuuza umeme nje ya nchi umeanza kwa kujenzi wa njia za kusambaza umeme huo kuelekea Malawi, Uganda na Kenya
Mwakilishi wa Shirika hilo, Odilo Mutalemwa amesema hayo kwenye Maonesho ya Sita ya viwanda yanayofanyika visiwani Zanzibar
Mutalemwa amesema “Tunategemea tutakapokuwa na umeme mwingi zaidi tutauza nje ya nchi. Sasa hivi tunaendeleza miradi mbalimbali ya kutengeneza njia kubwa za umeme (Transmission Line)”
Hoja yangu:
Hivi haya maneno si kejeri kwa sisi ambao tunashindwa kufanya kazi za kutuletea kipato!
ITV nao wanahoji je mkakati wa kuuza umeme nchi za nje unakwenda sambamba na kuboresha huduma hiyo hapa nchini?
Mwakilishi wa Shirika hilo, Odilo Mutalemwa amesema hayo kwenye Maonesho ya Sita ya viwanda yanayofanyika visiwani Zanzibar
Mutalemwa amesema “Tunategemea tutakapokuwa na umeme mwingi zaidi tutauza nje ya nchi. Sasa hivi tunaendeleza miradi mbalimbali ya kutengeneza njia kubwa za umeme (Transmission Line)”
Hoja yangu:
Hivi haya maneno si kejeri kwa sisi ambao tunashindwa kufanya kazi za kutuletea kipato!
ITV nao wanahoji je mkakati wa kuuza umeme nchi za nje unakwenda sambamba na kuboresha huduma hiyo hapa nchini?