- Thread starter
- #21
Kwa hiyo wajasiriamali wanaotegemea umeme wako likizo!Kigoma Leo hakutakuwa na umeme kuanzia saa 3 asubuhi mpaka saa 12 jioni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo wajasiriamali wanaotegemea umeme wako likizo!Kigoma Leo hakutakuwa na umeme kuanzia saa 3 asubuhi mpaka saa 12 jioni
Janga lingine linatengenezwa hilo!Duh mnataka kutoa sadaka wakati watoto wenu wanalala na njaa.
Maajabu haya siku kina cha maji kikipungua mtawapa mgao au siyo?
Hii ni hatua nyingine ya kujiaibisha wenyewe mna njaa then mnatamaa ya kusaidia wengine,Janga lingine linatengenezwa hilo!
Hiyo siyo tamaa ya kusaidia wengine bali ni tamaa ya upigaji!Hii ni hatua nyingine ya kujiaibisha wenyewe mna njaa then mnatamaa ya kusaidia wengine,
Sadaka njema ni baada ya kuboresha hali ya watu wa karibu
Sisi tutatumia majenereta!Umeme unakatwa kila siku alafu mkauze nje? acheni maigizo basi jamani
mkuu amka usngzn basi,hizo infrastructure mbona kipnd Cha jpm hazkusumbua !??, Why now!!?.sema waache kutuhujumu Basi ,ndo tatzo kubwa kwa ss .before we even think of exporting power to neighboring countries, we better think of power distribution infrastructures, which lead to erratic power supply
Kweli aseeSisi tutatumia majenereta!
TANESCO kweli mnathubutu kuzungumzia ubora wa mtetea, wakati hata hilo yai la kumtotoa huyo kuku halipo!Shirika la Umeme la Tanzania (TANESCO) limesema mchakato wa kuuza umeme nje ya nchi umeanza kwa kujenzi wa njia za kusambaza umeme huo kuelekea Malawi, Uganda na Kenya
Mwakilishi wa Shirika hilo, Odilo Mutalemwa amesema hayo kwenye Maonesho ya Sita ya viwanda yanayofanyika visiwani Zanzibar
Mutalemwa amesema “Tunategemea tutakapokuwa na umeme mwingi zaidi tutauza nje ya nchi. Sasa hivi tunaendeleza miradi mbalimbali ya kutengeneza njia kubwa za umeme (Transmission Line)”
View attachment 2036471
Hoja yangu:
Hivi haya maneno si kejeri kwa sisi ambao tunashindwa kufanya kazi za kutuletea kipato!
ITV nao wanahoji je mkakati wa kuuza umeme nchi za nje unakwenda sambamba na kuboresha huduma hiyo hapa nchini?
Duuh! Kununua umeme wa tanesco ni kujitoa muhanga!Hiyo nchi itakayo jitoa muhanga kununua umeme toka TANESCO ijiandae kushuhudia umeme mdogo lakini pia ubunifu wa shirika letu wa zile komedi zao za kuwasha na kuzima.