Mwakilishi wa wenye Ualbino asema "Je, Serikali inathamini Wananyama kuliko sisi wenye Ualbino?"

Mwakilishi wa wenye Ualbino asema "Je, Serikali inathamini Wananyama kuliko sisi wenye Ualbino?"

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Watu wenye ulemavu wa ngozi (Maalbino) wameitaka serikali kuweka sheria ya dharula itakayowalinda maalbino tofauti na kuendelea kutoa matamko ambayo hutolewa tu pale mauaji yanapotokea.

Wakizungumza na waandishi leo juni kwa nyakati tofauti Juni 24, 2025 wamesema tangu Mwaka 2016 maalbino wanauawa kama Wanyama lakini Sheria kali za kuwalinda wanyama kama Tambo na wengine zimeundwa lakini hakuna sheria mahususi ya kumlinda albino hivyo wametaka mwasaada wa dharula wa sheria ya kuwalinda maalbino kupitishwa bungeni.

Sarah Katanga Muwakilishi wa walemavu kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo - CHADEMA amesema "Tunamuomba Rais Samia Suluhu atoke hadharani atamke kutaka kuwepo kwa mswaada wa dharula wa kuwalinda maalbino,ameongeza kuwa kumekuwa na sheria kali za kuwalinda wanyama,sheria za madawa ya kulevya lakini hakuna sheria maalum dhidi ya ulinzi wa ma albino"Amesema Sarah Katanga.
 
Watu wenye ulemavu wa ngozi (Maalbino) wameitaka serikali kuweka sheria ya dharula itakayowalinda maalbino tofauti na kuendelea kutoa matamko ambayo hutolewa tu pale mauaji yanapotokea.

Wakizungumza na waandishi leo juni kwa nyakati tofauti Juni 24, 2025 wamesema tangu Mwaka 2016 maalbino wanauawa kama Wanyama lakini Sheria kali za kuwalinda wanyama kama Tambo na wengine zimeundwa lakini hakuna sheria mahususi ya kumlinda albino hivyo wametaka mwasaada wa dharula wa sheria ya kuwalinda maalbino kupitishwa bungeni.

Sarah Katanga Muwakilishi wa walemavu kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo - CHADEMA amesema "Tunamuomba Rais Samia Suluhu atoke hadharani atamke kutaka kuwepo kwa mswaada wa dharula wa kuwalinda maalbino,ameongeza kuwa kumekuwa na sheria kali za kuwalinda wanyama,sheria za madawa ya kulevya lakini hakuna sheria maalum dhidi ya ulinzi wa ma albino"Amesema Sarah Katanga.
MUNGU anisamehe na wala sina haja ya dhihaka.

Ni kweli watu wenye ualibino wamepuuzwa? Au ile mindset ya kujiona victim ndio inatawala fikra zao. Kwani mashirika, au taasisi ngapi zimeingilia haya mauaji?? Kuonyesha watu hawabagui mkapewa na viti bungen ili inclusion iwepo na kuwa semea.
Ngumu kuzuia matukio ya kiharifu, hayo ya mapanga, na uharifu mwingine hufanyiwa watu wote, wenye ulemavu na wasio nao. Je, unajua ilichukua Muda si zaidi ya Masaa 96 kuwa pata walio fanya tukio na ilichukua zaidi ya mwezi kuwapata walio fanya tukio la kumuua na kumchapanga yule dada / tomboy wa shinyanga?

Uhalisia, jamiii inajaribu sana kuwalinda,kuwapenda na kuwapa nafasi ya msingi, kinacho ghalimu ni watu wa karibu, ndugu wa wenye ualbino..Je, Serikali itawezaje kuokoa meli inayovuja kutokea ndani??

Lakin ktk hoja nyingine mnajua kuna baadhi yenu wanatumia ulemavu wa ngozi kama fursa, wakipiga matukio na kukuangushia msala mtu mwingine.

Ifike muda muonyeshe appreciation na juhudi za jamiii na serikali sio kila muda na speech za victimization.
 
Back
Top Bottom