Mwakinyo aliuza mechi kwa kambi ya Liam Smith

Mwakinyo aliuza mechi kwa kambi ya Liam Smith

Bila ya salamu
Habari za chinichini ni kuwa bondia Hassan Mwakinyo ,alivua mkwanja mrefu kutoka kwa kambi ya Liam Smith ili auze pambano lake ktk hali ya kushangaza na kustaajabisha kabisa kwa ku-fake majeraha ya kifundo cha mguu. Mwakinyo amelipa fadhila kwa Liam kwa kitendo chake cha kumkubalia kupambana nae ili kimsaidie kumvushia jina lake kimataifa zaidi huku yeye Liam akinufaika na ushindi huu ambao unakwenda kumpa nafasi ya kugombania ubingwa wa dunia.


Asante mwakinyo kwa kutulaza saa 7 za usiku maana nilikaa macho katika jiji la Larnaca hapa cyprus nikifuatilia pambano hili
Mkuu title umeandika

Mwakinyo auliza mechi kwa kambi ya Liam Smith

Au macho yangu yanakufa?
 
Wabongo walivyowapuuzi wanaona watu kuongea ukweli ni chuki..ila kiukweli kabisa binadamu mwenye akili timamu hawezi kukubaliana na hoja za mwakinyo kua kiatu kimemminya kifundo cha mguu ndomana kapoteza pambano...hoja za kitoto kabisa na ukweli ni kua kauza mechi kwa kampuni za kubet
 
Sijui ndo nataka unifafanulie? Na ananufaika vipi na kuuza hiyo mechi
Inasemekana Kalamba Dola 300,000 Kutoka Kwa watu Wakubeti Toka Urusi Unaambiwa Anguka round Ya nne... Watu Wanastake ela Nying wanatajilika Kiulaini... Kwenye Boxing Nikawaida Sanaa ii Ata Yeye Bondia Aliokuwa Anawaleta Wanapozwa Wasikaze Sanaa
 
Bila ya salamu
Habari za chinichini ni kuwa bondia Hassan Mwakinyo ,alivua mkwanja mrefu kutoka kwa kambi ya Liam Smith ili auze pambano lake ktk hali ya kushangaza na kustaajabisha kabisa kwa ku-fake majeraha ya kifundo cha mguu. Mwakinyo amelipa fadhila kwa Liam kwa kitendo chake cha kumkubalia kupambana nae ili kimsaidie kumvushia jina lake kimataifa zaidi huku yeye Liam akinufaika na ushindi huu ambao unakwenda kumpa nafasi ya kugombania ubingwa wa dunia.


Asante mwakinyo kwa kutulaza saa 7 za usiku maana nilikaa macho katika jiji la Larnaca hapa cyprus nikifuatilia pambano hili
Wengine wanasema watu wa betting wamenunua mechi wakashinda na kuvuta mkwanja mrefu naye Mwakinyo akavuta USD 300,000 na yake halali ya mshindwa USD 100,000. Hebu badilisha mkwanja huo kwa madafu money!
 
Mapambano mengi siku ile yalikaa ki michongo michongo
Angalau lile la lwanza jamaa aliyetolewa damu na lile la madada walionyesha upinzani angalau

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Kwanza kabisa weka akilini kuwa Mwakinyo hajaenda kupigana ngumi bali kaenda kutafuta fedha. Baada ya hapo tuendelee na mjadala...
 
Inasemekana Kalamba Dola 300,000 Kutoka Kwa watu Wakubeti Toka Urusi Unaambiwa Anguka round Ya nne... Watu Wanastake ela Nying wanatajilika Kiulaini... Kwenye Boxing Nikawaida Sanaa ii Ata Yeye Bondia Aliokuwa Anawaleta Wanapozwa Wasikaze Sanaa
Hapa kidgo umenipa ufahamu! Sasa mpunga anakuwa anapewa before pambano au baada ya pambano? Hakuna kuingizana mjini kweli.hahahaha
 
Wengine wanasema watu wa betting wamenunua mechi wakashinda na kuvuta mkwanja mrefu naye Mwakinyo akavuta USD 300,000 na yake halali ya mshindwa USD 100,000. Hebu badilisha mkwanja huo kwa madafu money!
*****! Hata mimi ningeuza pambano,haiwezekani baada ya miaka 10 nguvu za ubondia zimeisha halafu na piga vizinga washkaji kwa njaa.hahaha
 
Bila ya salamu
Habari za chinichini ni kuwa bondia Hassan Mwakinyo ,alivua mkwanja mrefu kutoka kwa kambi ya Liam Smith ili auze pambano lake ktk hali ya kushangaza na kustaajabisha kabisa kwa ku-fake majeraha ya kifundo cha mguu. Mwakinyo amelipa fadhila kwa Liam kwa kitendo chake cha kumkubalia kupambana nae ili kimsaidie kumvushia jina lake kimataifa zaidi huku yeye Liam akinufaika na ushindi huu ambao unakwenda kumpa nafasi ya kugombania ubingwa wa dunia.


Asante mwakinyo kwa kutulaza saa 7 za usiku maana nilikaa macho katika jiji la Larnaca hapa cyprus nikifuatilia pambano hili
Nilidhan kule tanga wa kike tu ndio beki hazikab lkn kumbe hata wa kiume walewale tu[emoji41][emoji41][emoji41]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom