sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
aweke milioni500 hatutaki taarabuKwamba Twaha wa Morogoro ni Local Boxer?
Hivi unaona kweli Heading uliyoweka inaakisi Yaliyomo ?Baada ya watanzania kuonesha shauku ya kumuona bondia namba moja Africa, Hassan Mwankinyo akipanda ulingoni na local boxer Twaha Kiduku.
Mwakinyo ametoa bei yake ya kupanda ulingoni sh million 500 za kitanzania na hana maelekezo mapya.
Waliomfata kulialia kawarudisha na mil 200 zao.
Champez kaweka standard anayetaka kumuona kwenye ring na aweke hela.period
Ndio.Kwamba Twaha wa Morogoro ni Local Boxer?
Atauwawa ulingoniKama kazi ni kipimo cha Utu vipi kuhusu kipigo atachopewa mrembo wa kidigo πππ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi unaona kweli Heading uliyoweka inaakisi Yaliyomo ?
Wewe ni slow learner nataka nakusaidie, niambie nini ujaelewa nikueleweshe?Hivi unaona kweli Heading uliyoweka inaakisi Yaliyomo ?
Champez hana masihara na kazi yake ndio maana mapromota majalala hawampendi.Ni sahihi kabisa hizi ni kazi na biashara za watu wasifanye mambo kienyeji, kama ndio hela aliyozoea kulipwa huko nje basi hawana budi kumlipa hiyo, wasilazimishe ashushe thamani yake eti kisa mashabiki wanataka kuona nani mbabe kati yao waweke mzigo pambano lichezwe fullstop..
Huna akiliAnaogopa kubondwa huyo legelege