Mwakinyo anataka apewe milioni 500 ili apambane na Kiduku

Mwakinyo anataka apewe milioni 500 ili apambane na Kiduku

Hapa kilichokupa maumivu ni kusikia kuna kijana anaenda kupata mil 500 nothing else.

Roho mbaya na chuki ni ugonjwa chronic kwa vijana wengi wa kiswahil kama wewe kiande
Hakuna kitu kama hiko. Anapewa 500M kwa ngumi zipi? We unajua 500M au unajisemea tu ukiwa unauza kahawa na kashata hapo sinza kijiweni? Tuambie, promote gani anayetoa hizo 500M? Au Dayamond aliyempa zawadi Dvoice cheni ya Tsh 150M. Pumbavu kabisa wewe. Hivi hiko kichwa unatumia kufanyia nini maana unatumia makalio kufikiria.
 
Mdigo anajikuta Anthony Joshua. Kaenda duga kuangalia ramli kaona atachezea za uso anaweka vikwazo vya bei.
Maisha ni pesa, sio umwamba wakipumbavu...
 
Hakuna kitu kama hiko. Anapewa 500M kwa ngumi zipi? We unajua 500M au unajisemea tu ukiwa unauza kahawa na kashata hapo sinza kijiweni? Tuambie, promote gani anayetoa hizo 500M? Au Dayamond aliyempa zawadi Dvoice cheni ya Tsh 150M. Pumbavu kabisa wewe. Hivi hiko kichwa unatumia kufanyia nini maana unatumia makalio kufikiria.
Tafuta pesa uache makasiriko ya kukasirikia watu ovyo , tibu umaskini wako
 
Tafuta pesa uache makasiriko ya kukasirikia watu ovyo , tibu umaskini wako
Wacha weeeeee, maskini na vijana ndio mnatafuta pesa. Si wazee hatutafuti pesa bali pesa ndio inatutafuta. Tulishweka misingi na mifereji mizuri so pesa zinatufuata zenyewe pitia hiyo mifereji.

Tuambie na tutajie jina la Promoter anayempa mwakinyo 500M? Je yeye ataridishaje hiyo pesa na kuingiza faida? Tuanzie hapo wewe Maamuma na Fukara wa mwilili, mali na akili. Tumia hiko kichwa kufikiria usitumie masaburi kufikiria.
 
Tsh 500M inapatikana, itapatikana ikiwa hiyo fight itajaza Benjamin Mkapa stadium kwa kiingilio cha kima cha chini TSh 30,000/=,hapo ni nje na pay per view. Lakini pambano linaweza fanywa mlimani city hall kwa kiingilio cha kima cha chini TSh 3M, swali nijee hao mabondia wanapendwa kiasi hicho kuvuta mashabiki au watanzania wanamapenzi hayo na mchezo huo wangumi kulipa gharama hizo za kiingilio.
 
Hakuna kitu kama hiko. Anapewa 500M kwa ngumi zipi? We unajua 500M au unajisemea tu ukiwa unauza kahawa na kashata hapo sinza kijiweni? Tuambie, promote gani anayetoa hizo 500M? Au Dayamond aliyempa zawadi Dvoice cheni ya Tsh 150M. Pumbavu kabisa wewe. Hivi hiko kichwa unatumia kufanyia nini maana unatumia makalio kufikiria.
Wewe unaonesha una umasikini wa kutupwa sio kwa makasiriko hayo
 
Wewe unaonesha una umasikini wa kutupwa sio kwa makasiriko hayo
Mbona unaandika kama unasukumiwa moto? Jibu, promote gani huyo anayetoa Milioni 500 kwa Mwakinyo? Je atarudishaje hiyo pesa yake? Pumbavu kabisa wewe dogo.
 
Tsh 500M inapatikana, itapatikana ikiwa hiyo fight itajaza Benjamin Mkapa stadium kwa kiingilio cha kima cha chini TSh 30,000/=,hapo ni nje na pay per view. Lakini pambano linaweza fanywa mlimani city hall kwa kiingilio cha kima cha chini TSh 3M, swali nijee hao mabondia wanapendwa kiasi hicho kuvuta mashabiki au watanzania wanamapenzi hayo na mchezo huo wangumi kulipa gharama hizo za kiingilio.
Angalau wewe umesema kitu? Vipi kiduku yeye atapigana bure? Vipi kuhusu gharama za maandalizi ya uwanja/Ukumbi, vipi kuhusu gharama za kukodi uwanja/Ukumbi. Vipi kuhusu mabondia watakaopogana mapambano ya utangulizi, wao watapigana bure? Je hao mashabiki watakaonunua ticket kwa bei ya chini 30,000 watatoka wapi kwenye boxing ikiwa tu Simba/Yanga wakitangaza kiingilia cha chini cha 10,000 mashabiki hawaendi. Hii ya kutaka 500M, mwakinyo alikuwa anajifurahisha na kujikweza tu kama kawaida yake.
 
Angalau wewe umesema kitu? Vipi kiduku yeye atapigana bure? Vipi kuhusu gharama za maandalizi ya uwanja/Ukumbi, vipi kuhusu gharama za kukodi uwanja/Ukumbi. Vipi kuhusu mabondia watakaopogana mapambano ya utangulizi, wao watapigana bure? Je hao mashabiki watakaonunua ticket kwa bei ya chini 30,000 watatoka wapi kwenye boxing ikiwa tu Simba/Yanga wakitangaza kiingilia cha chini cha 10,000 mashabiki hawaendi. Hii ya kutaka 500M, mwakinyo alikuwa anajifurahisha na kujikweza tu kama kawaida yake.
Amekataa kijanja
 
Naunga mkono hoja
Kama shabiki wa Mwakinyo kindaki ndaki.
500Ml mtu akalishwe chini Maneno yaishe
 
Hili pambano lifanyike tu waheshimiane,,,maana maneno tu kila siku kutambiana!
 
Kiduku hata akipewa laki saba mwendo
 
Angalau wewe umesema kitu? Vipi kiduku yeye atapigana bure? Vipi kuhusu gharama za maandalizi ya uwanja/Ukumbi, vipi kuhusu gharama za kukodi uwanja/Ukumbi. Vipi kuhusu mabondia watakaopogana mapambano ya utangulizi, wao watapigana bure? Je hao mashabiki watakaonunua ticket kwa bei ya chini 30,000 watatoka wapi kwenye boxing ikiwa tu Simba/Yanga wakitangaza kiingilia cha chini cha 10,000 mashabiki hawaendi. Hii ya kutaka 500M, mwakinyo alikuwa anajifurahisha na kujikweza tu kama kawaida yake.
Mahesabu yako ya kizamani sana hujui sikuizi kina Hadi haki za matangazo ya tv na mitandaoni na Bado na wadhamini
 
Tsh 500M inapatikana, itapatikana ikiwa hiyo fight itajaza Benjamin Mkapa stadium kwa kiingilio cha kima cha chini TSh 30,000/=,hapo ni nje na pay per view. Lakini pambano linaweza fanywa mlimani city hall kwa kiingilio cha kima cha chini TSh 3M, swali nijee hao mabondia wanapendwa kiasi hicho kuvuta mashabiki au watanzania wanamapenzi hayo na mchezo huo wangumi kulipa gharama hizo za kiingilio.
Mapambano kama hayo pesa huwa haipatikani kwa viingilio, wadhamini watafix kila kitu.
 
"know yourself, know your worth,
nigga"

Drake - 0 to 100.
 
Mbona unaandika kama unasukumiwa moto? Jibu, promote gani huyo anayetoa Milioni 500 kwa Mwakinyo? Je atarudishaje hiyo pesa yake? Pumbavu kabisa wewe dogo.
Wewe ni mzee ambaye huna busara sijui unalea vipi familia yako
 
Back
Top Bottom