Mwakinyo ashinda kwa TKO dhidi ya muargentina

Mwakinyo kabadilika sanaaa kwenye hii game sanaaa... hongera sana kwa makocha wamembadilisha sana
Amepigana vizuri sana...hakuna kupaki basi...sio kama siku ile ya mfilipino alikuwa anakimbia kimbia tu
 
Mi nafikiri mnufaika mkuu atakuwa mwakinyo kwakuwa it's all about money, na mwakinyo yupo kwenye nafasi nzuri sana ya kutaja dau kuliko kiduku
 
Mi nafikiri mnufaika mkuu atakuwa mwakinyo kwakuwa it's all about money, na mwakinyo yupo kwenye nafasi nzuri sana ya kutaja dau kuliko kiduku
Pesa ya pambano la Ndani haiwezi kuwa kubwa kutisha....
Ila Twaha atapata fame bongo na Nje....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…