Mwakinyo ashinda pambano lake dhidi ya Tinampay

Pambano lingine ni Juma Athuman Vs Anton Luta
 
Yaani mtu anapigana na mjombaake halafu nyie mnafurahia?
Huyu Mfilipino kaanza kupigana mwaka 2008 wakati Mwaki nyoo yupo darasa la pili.
 
Sijuj kwanini moyo wangu una hofu kila nikipitia rekodi zao! Hebu huyo mzungu akalishwe mapema maana sio kwa moyo kudunda dunda huku!
 
Robo tatu ya uwanja ushajaa.unasubiri nini sasa wahi mapema uwanja wa uhuru fulk shangwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…