Thad JF-Expert Member Joined Mar 14, 2017 Posts 13,380 Reaction score 31,566 Dec 3, 2019 #581 Asprin said: Hahahaha swahiba unajua vijana hapo wanaweza kutafsiri yale mambo yao wanayofanyia bafuni??? Yaani jamaa kashinda bila kupingwa kama zile chaguzi za serikali za vijiweni Click to expand... Tatizo la kushinda bila kupingwa ni kumkimbiza furaha... aliyeshinda hana furaha, mashabiki hawana furaha, majaji hawana furaha, waandaaji hawana furaha hata mpinzani wake pia hana furaha! Ama kweli asiyekubali kushindwa si mshindani! (Kwa hisani ya baba Askofu Dr.Bagonza)
Asprin said: Hahahaha swahiba unajua vijana hapo wanaweza kutafsiri yale mambo yao wanayofanyia bafuni??? Yaani jamaa kashinda bila kupingwa kama zile chaguzi za serikali za vijiweni Click to expand... Tatizo la kushinda bila kupingwa ni kumkimbiza furaha... aliyeshinda hana furaha, mashabiki hawana furaha, majaji hawana furaha, waandaaji hawana furaha hata mpinzani wake pia hana furaha! Ama kweli asiyekubali kushindwa si mshindani! (Kwa hisani ya baba Askofu Dr.Bagonza)