Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,380
- 31,566
Tatizo la kushinda bila kupingwa ni kumkimbiza furaha... aliyeshinda hana furaha, mashabiki hawana furaha, majaji hawana furaha, waandaaji hawana furaha hata mpinzani wake pia hana furaha!Hahahaha swahiba unajua vijana hapo wanaweza kutafsiri yale mambo yao wanayofanyia bafuni???
Yaani jamaa kashinda bila kupingwa kama zile chaguzi za serikali za vijiweni
Ama kweli asiyekubali kushindwa si mshindani!
(Kwa hisani ya baba Askofu Dr.Bagonza)