Mwakinyo ashinda pambano lake dhidi ya Tinampay

Mwakinyo ashinda pambano lake dhidi ya Tinampay

Mfilipino kazigomea wakati ashazivaa adi kafika ulingoni sasa angefanyaje?
Inawezekana kagoma toka ndani, ila angekaa kimya ss watazamaji tusingejua ndo maana kagoma na ulingoni ili hata akipigwa aseme sababu ni vifaa duni.
 
Uwanja wa uhuru vyoo hakuna just kama uwanja wa taifa.Jaman aibu kwa taifa.imagine mtu anakojoa kwenye ngazi za kupandia uwanjan
Kojoeni tu sasa mtafanya nini. Uwanja upo chini ya jeshi ila dah.....
 
Back
Top Bottom