Lakini kweli umeshtua ubongo. Mfilipino naye kazingua maana kapanda nazo mbona.Mfilipino kazingua...
Inawezekana kagoma toka ndani, ila angekaa kimya ss watazamaji tusingejua ndo maana kagoma na ulingoni ili hata akipigwa aseme sababu ni vifaa duni.Mfilipino kazigomea wakati ashazivaa adi kafika ulingoni sasa angefanyaje?
Kojoeni tu sasa mtafanya nini. Uwanja upo chini ya jeshi ila dah.....Uwanja wa uhuru vyoo hakuna just kama uwanja wa taifa.Jaman aibu kwa taifa.imagine mtu anakojoa kwenye ngazi za kupandia uwanjan
Uko uwanjani mkuu?Saa tano inaenda na nusu sasa. Sielewi.
Hapana.Uko uwanjani mkuu?
Sababu kuu nini hadi pambano kutoanza muda huu kama unajua.Hapana.
Maana halisi ya mtu mweusiUwanja wa uhuru vyoo hakuna just kama uwanja wa taifa.Jaman aibu kwa taifa.imagine mtu anakojoa kwenye ngazi za kupandia uwanjan
KabisaaMwakinyo lazima apigwe [emoji23][emoji23][emoji23]
Uwanja wa Taifa una magofu ya vyoo yaani ni vibovu sana. Dah sijui tulianza kutembea mapema kabla unyani haujatutoka sisi Watanzania.Maana halisi ya mtu mweusi
Bora wameanza..Rasmi vitasa vimeanza
Kwa hiyo unataka kusema kuna wengine bado nyani ila tuko nao ?Uwanja wa Taifa una magofu ya vyoo yaani ni vibovu sana. Dah sijui tulianza kutembea mapema kabla unyani haujatutoka sisi Watanzania.