Samboko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2011
- 5,420
- 7,788
Kweli kabisaNina mashaka na Matumla alishabikia sana style ya Twaha Kiduku hawa malejendari wetu bwana ni sawa na kumkosoa Samatta tu ilihali level hizo hawakufika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisaNina mashaka na Matumla alishabikia sana style ya Twaha Kiduku hawa malejendari wetu bwana ni sawa na kumkosoa Samatta tu ilihali level hizo hawakufika.
Wengi humu hawajui ngumi mkuu ndio maana wanaingiza siasa na wengi wao ni ukawa hawapendi kuona tz inapata ushindi maana sifa zitaenda kwa serikali, mimi ni mpinzani lkn sipingi kila kitu.Nimesoma maoni ,najiridhisha Leo huko ktk ngumi,MTU kabebwa kapewa ushindi
Nakubaliana na wewe ila jua viwango tofauti hata floyd alianza hivi baadae akazidi kuongeza umakini....Pambano la Mayweather vs Pacquiao halifanani kabisa na pambano la Mwakinyo na Tinampay
Defence ya Mawyweather ni ngumu sana kupenya kuliko ya Mwakinyo ,angalia hata highlights.
Utafikiri yeye hakuwahi kupigwaNaombeni kujua UTIMAMU WA AKILI WA RASHID MATUMLA. Kila akiulizwa swali au akiongea kama simuelewí anaongea nini.
Jamaa naona ngumi zilimuathiri..
Tatizo la wabongo ujuaji mwingi. Kwa ambaye hajui ngumi ataona Mwakinyo ameshindwa. Ila kwa anayejua ngumi ataona Mwakinyo yupo vizuri.Aibu nimeona Mimi..haihitaji rocket science kutambua Kama Mwakinyo kapigwa..huku kubebana ndio kunatugharimu Kama taifa..
Acha jazba za kike mkuu.Mpuuzi wewe. Fitna zipo kila sekta. Michezo, siasa, dini, elimu, familia nk. Wewe unafikiri mabeberu kukuzidi uchumi ni Nini Kama sio fitna. Mpuuzi kabisa wewe
Na huu ndio ujuha wa watanzania mkuu,kuwa mpinzani sio kupinga kila kituWengi humu hawajui ngumi mkuu ndio maana wanaingiza siasa na wengi wao ni ukawa hawapendi kuona tz inapata ushindi maana sifa zitaenda kwa serikali, mimi ni mpinzani lkn sipingi kila kitu.
Nani kakwambia kuwa kutajataja majina ya boxers ndio utatuaminisha kuwa unaujua vema huu mchezo????!!!Sisi tulioanza kufuatilia ndondi enzi za kina George Lister Sabuni, Koba Kimanga, Joseph Marwa, Rashid Matumla, Mbwana Matumla, Maneno Oswald "mtambo wa gongo", Hassan Matumla, Haji Matumla, Mzonge, Michael Yombayomba ni dhahiri huyu bwana mdogo anatudanganya
Endeleeni kushangilia Si ameshinda? Acha namm nitaje mabondia wa kweli siyo wa maigizo igizo ulingoniNani kakwambia kuwa kutajataja majina ya boxers ndio utatuaminisha kuwa unaujua vema huu mchezo????!!!
Acha kujidanganya
Wewe hujui boxing, usibishe.Endeleeni kushangilia Si ameshinda? Acha namm nitaje mabondia wa kweli siyo wa maigizo igizo ulingoni
Mkuu uko sahihi kwanza kunaajabu gani kwa kubebwa mwakinyo juzi tu hapa tumeona libya ikipewa peneti hewa na kama huyo mfilipino yuko vizur kwa nini asimalize mchezo mapemaTatizo la wabongo ujuaji mwingi. Kwa ambaye hajui ngumi ataona Mwakinyo ameshindwa. Ila kwa anayejua ngumi ataona Mwakinyo yupo vizuri.
Litizame pambano la Andy Ruiz Jr. Vs Anthony Joshua halafu utajua kwa nini Joshua alipigwa.
Joshua ni mrefu Andy ni mfupi. Tafsiri yake mikono ya Joshua ni mirefu ya Andy ni mifupi. Joshua upigaji wake ulikuwa Andy akirusha naye anarusha! Lakini Andy alijua akipigana na Joshua kwa style hiyo atapigwa. Kwa sababu mikono yake ni mifupi na ya Joshua ni mirefu, mpaka amfikie Joshua kwa mtindo wa piga nikupige atakuwa ameshakula vitasa vingi sana.
Andy alichokifanya ni kutompa nafasi Joshua. Akawa anapiga ngumi cherehani. Alicho' feli Joshua akawa anapigana na Andy inside fighting. Hii ni hatari ukiwa na opponent wa namna hii. Kingine Joshua alifeli kwenye guard kwa sababu upiganaji wake ulikuwa piga nikupige.
Mwakinyo alichokutana nacho ndicho hicho hicho. Yeye aligundua mapema kwamba mpinzani wake hampi nafasi. Kwa maana anarusha ngumi nyingi kwa wakati mmoja. Kwa vile upiganaji ni wa point inabidi umtafute huyo mpinzani wako.
Advantage aliyoitumia ni kulalia kamba! Hii ni advantage kwenye ring. Kwa sababu opponent wa Mwakinyo inside fighting anakumliza. Mosi, hata kama ukiweka guard lakini guard inaambatana na uvumilivu, kuna ngumi zitaumiza hiyo guard yako. Pili, ngumi utakazorushiwa lazima nzito zitakuwemo!
Ukipigwa kikombe kizito hata kama umeweka guard kitakurudisha nyuma. Lakini ukumbuke unapigana na mpinzani anayerusha ngumi nyingi sana kama cherehani. So ukiyumba unapoteza balance ya kwenye miguu. Ni hatari kwa sababu utaangushwa!
Cha kufanya lalia kamba zinakupa support halafu unamuhama kwa kishtukiza, then unamtia bomba! Bomba! Mpaka anakuja kukaa sawa tayari wewe una point zako huku ukimzungusha kwenye ring kwa maana unamtafuta.
Ngumi ni technique.
Wewe ndiyo unajua sana na ni lecturer wa sheria za ngumi, mtatetea sana ila bahati nzuri mchezo ulichezwa hadharani na nilikuwepo Uhuru na leo nimeirudia clip ya azam TV kwahiyo Mwakinyo amesaidika na unyumbani siyo ushindi wake.Wewe hujui boxing, usibishe.
Ni ngumi za namna gani ambazo zinatoa score kwenye boxing?Wewe ndiyo unajua sana na ni lecturer wa sheria za ngumi, mtatetea sana ila bahati nzuri mchezo ulichezwa hadharani na nilikuwepo Uhuru na leo nimeirudia clip ya azam TV kwahiyo Mwakinyo amesaidika na unyumbani siyo ushindi wake.