Mwakinyo na Alikiba ni watu wa maana sana

Mwakinyo na Alikiba ni watu wa maana sana

Magical power

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2022
Posts
2,158
Reaction score
5,626
Mwakinyo na Alikiba ni watu wa maana sana kiufup mimi kama Mimi nawapongeza sana wanajitoa sana kwenye matukio kuna wale wavaa Heren na wanabana pua wakat wa kuongea wanaogopa vumbi. jamaa mwakinyo katoa ushilikiano sana mpka akatoboa ukuta na kuzama ndani ya shimo na Alikiba alivunja ukuta mkubwa sana na mgumu adi kupatikana shimo la kuingia ndani,
1732513229096.jpg
sasa wale waramba lips 🙆🙆🙆🙆 kazi yao kupost kila tukio utazan wapo sehemu husika ila wanaume wa dar bana😂😂😂😂😂acha niishie apa tu maana nitawanyambua tu😄😄😄🫣
 
Nadhani ifike mahali tukubali watu hawawezi kuwa na tabia sawa
Wamefanya jambo jema na Hawa wengine wanafanya mambo mengine mema kwa sehemu yao
 
Back
Top Bottom