Mzee baba unaonesha ufuatilii boxing hasa za nje kujitapa na kejeli Ni sehemu ya boxing nenda mtu Kama Mayweather anafanya sanakama aliweza kupanda uzito bas ni rahis kushuka pia, ila nachosema kuwa sio ukitakiwa upigane, hata marekani utakuta bondia anatakiwa na mtu ila anaangalia malengo yake, lkn ukileta maneno ya shombo shombo ilo ndo tatizo, mm sina tatizo na mwakinyo kukataa kupigana na sababu zake za mwanzoni nilizielewa ila kukataa mkono wa twaha kweny pambano lake la juzi na baadae kutoa kashfa mixer kujitapa km bora peke ake ilo ndo tatizo kwangu , km kwako sawa basi sawa.
sio nje tu , hata hapa bongo mabondia wanajitapa ila ushawahi kusikia wanazungumziwa km wanazdharau? km pambano la juzi kat ya twaha na dullah kabla ya hata makubaliano la pambano , jinsi kila mtu alivyokuwa anamtambia mwenzake mpaka wakakubaliana kupigana ni ilichukuwa muda sana, lakin hakuna aliemdharau mwenzake na baada ya ngumi maisha mengine yameendelea km kawaida, ila huyu bondia wako maisha ya nje kakunja, kwenye pambano lake na yule mthailand, matumla alikuwa mchambuzi kuna vitu aliongea kwa ajili ya kumjenga zaid mwakinyo yeye akamaind, na kutoa maneno ya dharau kwa matumla, na pambano lake la juzi kushinda twaha kaenda kumpongeza kamvungia, sasa aelewekeje, kupigana kakataa na kupongezwa kakataaa, si ushamba huo, au kuiona hali iyo inahitaji ufuatilie ngumi kiasi gan? afu pia huyo mwakinyo sijamjua jana au kwa upepo huu, na namsapoti ila sifuagilii tabia za kikeMzee baba unaonesha ufuatilii boxing hasa za nje kujitapa na kejeli Ni sehemu ya boxing nenda mtu Kama Mayweather anafanya sana
sio nje tu , hata hapa bongo mabondia wanajitapa ila ushawahi kusikia wanazungumziwa km wanazdharau? km pambano la juzi kat ya twaha na dullah kabla ya hata makubaliano la pambano , jinsi kila mtu alivyokuwa anamtambia mwenzake mpaka wakakubaliana kupigana ni ilichukuwa muda sana, lakin hakuna aliemdharau mwenzake na baada ya ngumi maisha mengine yameendelea km kawaida, ila huyu bondia wako maisha ya nje kakunja, kwenye pambano lake na yule mthailand, matumla alikuwa mchambuzi kuna vitu aliongea kwa ajili ya kumjenga zaid mwakinyo yeye akamaind, na kutoa maneno ya dharau kwa matumla, na pambano lake la juzi kushinda twaha kaenda kumpongeza kamvungia, sasa aelewekeje, kupigana kakataa na kupongezwa kakataaa, si ushamba huo, au kuiona hali iyo inahitaji ufuatilie ngumi kiasi gan? afu pia huyo mwakinyo sijamjua jana au kwa upepo huu, na namsapoti ila sifuagilii tabia za kike
Hizo unazoita dharau ndo kujitatapa kwenyewe. Fuatilia interviews za Muhammad Ali na Michael Tyson utashuhudia dharau na kejeli zaidi ya Mwakinyo. Boxing sio football usitegemee kukutana na maneno ya kufariji na kutiana moyo huko.sio nje tu , hata hapa bongo mabondia wanajitapa ila ushawahi kusikia wanazungumziwa km wanazdharau? km pambano la juzi kat ya twaha na dullah kabla ya hata makubaliano la pambano , jinsi kila mtu alivyokuwa anamtambia mwenzake mpaka wakakubaliana kupigana ni ilichukuwa muda sana, lakin hakuna aliemdharau mwenzake na baada ya ngumi maisha mengine yameendelea km kawaida, ila huyu bondia wako maisha ya nje kakunja, kwenye pambano lake na yule mthailand, matumla alikuwa mchambuzi kuna vitu aliongea kwa ajili ya kumjenga zaid mwakinyo yeye akamaind, na kutoa maneno ya dharau kwa matumla, na pambano lake la juzi kushinda twaha kaenda kumpongeza kamvungia, sasa aelewekeje, kupigana kakataa na kupongezwa kakataaa, si ushamba huo, au kuiona hali iyo inahitaji ufuatilie ngumi kiasi gan? afu pia huyo mwakinyo sijamjua jana au kwa upepo huu, na namsapoti ila sifuagilii tabia za kike
Kama anajiona yeye ni mkali,afanye kama anafanya mazoezi tu na kiduku ktk pambano lisilo la ubingwa ambapo hatapoteza chochote tuone nani mkali,huenda pia akamkalisha huyo kiduku, aache kumuhofia kwa kisingizio cha kushusha rank ili awakate vilimi limi mashabiki wa.kidukuHizo unazoita dharau ndo kujitatapa kwenyewe. Fuatilia interviews za Muhammad Ali na Michael Tyson utashuhudia dharau na kejeli zaidi ya Mwakinyo. Boxing sio football usitegemee kukutana na maneno ya kufariji na kutiana moyo huko.
Mambo hayaendi hivyo ndugu yangu. Dunia ipi umeona professional boxers wanapiga just kuoneshana utemi?! Too Local.Kama anajiona yeye ni mkali,afanye kama anafanya mazoezi tu na kiduku ktk pambano lisilo la ubingwa ambapo hatapoteza chochote tuone nani mkali,huenda pia akamkalisha huyo kiduku, aache kumuhofia kwa kisingizio cha kushusha rank ili awakate vilimi limi mashabiki wa.kiduku
Huyo ni kunguru mwoga tu anayejificha kwenye kivuli cha kushusha rank,hajakutana tu na mabondia sampuli ya kina kiduku,na sema nae kiduku hana tu wadhamini wenye pesa wa kumpiganisha mapambano huko mbele sanaMambo hayaendi hivyo ndugu yangu. Dunia ipi umeona professional boxers wanapiga just kuoneshana utemi?! Too Local.
Sema inabidi afanye mazoezi sana ya kuboresha uzito wa ngumi.... Kwa bondia hata Kama unashinda mapambano mengi lakini Kama unaweza kumpiga mtu hata ngumi 5 mfululizo bila kumkalisha huo ni udhaifu, kawaida ngumi mbili tu mtu anatakiwa akae
naona hatuelewani kiswahili ndugu, endelea kuamin unavyojua ww.Hizo unazoita dharau ndo kujitatapa kwenyewe. Fuatilia interviews za Muhammad Ali na Michael Tyson utashuhudia dharau na kejeli zaidi ya Mwakinyo. Boxing sio football usitegemee kukutana na maneno ya kufariji na kutiana moyo huko.