Mwakinyo ni miongoni mwa wanamuchezo wenye majibu ya majivuno

Mwakinyo ni miongoni mwa wanamuchezo wenye majibu ya majivuno

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Jamaa muda huu yupo live kwenye kipindi cha michezo cha Sports Extra ya Clouds Fm, anaulizwa maswali anajibu kwa majivuno na kebehi sana!

Mojawapo ya swali aliulizwa,

Mwandishi: watu na mashabiki wa ngumu wanataka pambano lako na Twaha Kiduku vipi linaweza kufanyika?

Mwakinyo: Mimi siwezi kupambana eti kisa kuna mtu kaweka zawadi beberu, mimi sio bondia wa namna hiyo!

Mimi siwezi kupambana na Twaha kwakuwa ni bondia mwenye hadhi ya chini sana, akapigane na akina Selemani Kidunda ndio hadhi yake!

Hivyo ndugu mwandishi nihitimishe tu kwa kusema kuwa, kama ambavyo hatutamuona tena Mtume Muhamad (S.A.W) na ndio ambavyo hakutakuwa na pambano la mimi dhidi ya Twaha Kiduku!!
===================

Hayo ni machache, jamaa ameongea ujinga mwingi sana...
 
duh ila tumesikiliza wote mbona hajajibu hivyo???kasema yeye ni 4 stars boxer hao kina kiduku wapande nyota ili wapigane naye kumbuka kiduku ni star 2 na ni uzito tofauti akasema apigane na kidunda waliye naye uzito mmoja
na analia na malipo duni anataka hela nyingi ndiyo dreams zake
 
Maboxer ndivyo walivyo Mohammed Ali kua ni greatest boxer of all time. Ila mlishawahi msikia akiwa anajikubali na maneno ya shombo anayoongea kuhusu wapinzani wake? Yaani Mwakinyo akasome Ali alikua anashombo zaidi la pale Ferry.
 
Jamaa muda huu yupo live kwenye kipindi cha michezo cha Sports Extra ya Clouds Fm, anaulizwa maswali anajibu kwa majivuno na kebehi sana!

Mojawapo ya swali aliulizwa,

Mwandishi: watu na mashabiki wa ngumu wanataka pambano lako na Twaha Kiduku vipi linaweza kufanyika?

Mwakinyo: Mimi siwezi kupambana eti kisa kuna mtu kaweka zawadi beberu, mimi sio bondia wa namna hiyo!

Mimi siwezi kupambana na Twaha kwakuwa ni bondia mwenye hadhi ya chini sana, akapigane na akina Selemani Kidunda ndio hadhi yake!

Hivyo ndugu mwandishi nihitimishe tu kwa kusema kuwa, kama ambavyo hatutamuona tena Mtume Muhamad (S.A.W) na ndio ambavyo hakutakuwa na pambano la mimi dhidi ya Twaha Kiduku!!
===================

Hayo ni machache, jamaa ameongea ujinga mwingi sana...
Ni kweli ana kiburi na majivuno sana

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
mlishawahi kujiuliza kwa nini kwenye FIfa calendar taifa stars haipatagi teams za maana kucheza nazo?ranks za chini mno ukifungwa na aliye chini yako unaporomoka yeye anfaidika sana
zambia ,uganda wanaweza pata friend match na misri ila sisi hatuwezi pata kamwe labda isiwe ya kalenda ya Fifa, ukipata jibu basi usimlaumu mwakinyo, kiduku ni 2 stars, hassan ni 4 stars halafu wako uzito tofauti wa kilo 7.
 
Huyo Indonga alishawahi kulipwa usd millions 2 per fight, then usd 800,000 mara mbili..hayo mapambano matatu tu ukijumlisha ni billions 8 hiyo ndiyo angle anayoongelea mwakinyo kuwa bilionea kupitia boxing siyo kugombea crown ya milion 22

mwakinyo kwa sasa ni wa 24, Indonga wa 43 ,mwakinyo ana nyota 4,Indonga ana 3 na nusu lakini jamaa ni milionea wa dollar unadhani mwakinyo roho haimuumi halafu mnampa stress akagombanie gari kweli?
 
Jamaa muda huu yupo live kwenye kipindi cha michezo cha Sports Extra ya Clouds Fm, anaulizwa maswali anajibu kwa majivuno na kebehi sana!

Mojawapo ya swali aliulizwa,

Mwandishi: watu na mashabiki wa ngumu wanataka pambano lako na Twaha Kiduku vipi linaweza kufanyika?

Mwakinyo: Mimi siwezi kupambana eti kisa kuna mtu kaweka zawadi beberu, mimi sio bondia wa namna hiyo!

Mimi siwezi kupambana na Twaha kwakuwa ni bondia mwenye hadhi ya chini sana, akapigane na akina Selemani Kidunda ndio hadhi yake!

Hivyo ndugu mwandishi nihitimishe tu kwa kusema kuwa, kama ambavyo hatutamuona tena Mtume Muhamad (S.A.W) na ndio ambavyo hakutakuwa na pambano la mimi dhidi ya Twaha Kiduku!!
===================

Hayo ni machache, jamaa ameongea ujinga mwingi sana...

Ana maneno ya shombo uwezo hana. Si uwezo wa kipesa , hata ngumi hajui.

Pambano lake dhidi ya Mmalawi lazima apigwe .
 
Jamaa muda huu yupo live kwenye kipindi cha michezo cha Sports Extra ya Clouds Fm, anaulizwa maswali anajibu kwa majivuno na kebehi sana!

Mojawapo ya swali aliulizwa,

Mwandishi: watu na mashabiki wa ngumu wanataka pambano lako na Twaha Kiduku vipi linaweza kufanyika?

Mwakinyo: Mimi siwezi kupambana eti kisa kuna mtu kaweka zawadi beberu, mimi sio bondia wa namna hiyo!

Mimi siwezi kupambana na Twaha kwakuwa ni bondia mwenye hadhi ya chini sana, akapigane na akina Selemani Kidunda ndio hadhi yake!

Hivyo ndugu mwandishi nihitimishe tu kwa kusema kuwa, kama ambavyo hatutamuona tena Mtume Muhamad (S.A.W) na ndio ambavyo hakutakuwa na pambano la mimi dhidi ya Twaha Kiduku!!
===================

Hayo ni machache, jamaa ameongea ujinga mwingi sana...
Mpe muda ataishiwa
 
duh ila tumesikiliza wote mbona hajajibu hivyo???kasema yeye ni 4 stars boxer hao kina kiduku wapande nyota ili wapigane naye kumbuka kiduku ni star 2 na ni uzito tofauti akasema apigane na kidunda waliye naye uzito mmoja
na analia na malipo duni anataka hela nyingi ndiyo dreams zake
Exactly, nilisikiliza pia. Mleta mada kapotosha kwa kiasi chake.

Ngumi ni mchezo wa tambo, wanacheza wahuni sio ma-sheikh
 
Ana maneno ya shombo uwezo hana. Si uwezo wa kipesa , hata ngumi hajui.

Pambano lake dhidi ya Mmalawi lazima apigwe .
[emoji23][emoji23][emoji23] kwa ma boxer mwakinyo mbona mstaarabu sana. Twaha ni matakataka.

Af haishauriwi kupigana na mtu ambae hana cha kupoteza

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Hana zarau yoyote wee ndio unamuwekea maneno ya zarau hukusikuliza vxr alfu wee Ni utimu twah unakusumbua ...ulitak ajibuje mfno tumone Hana zarau


Ni jkweli uwez muwekea beberu eti apigane na mbeba matofali
 
Nishawahi kumsikia EFM mwaka jana alikuwa anajibu kwa dharau sana na kama majivuno hivi. Akiulizwa swali rahisi tu anajibu kwa mkato sana. Sidhani kama watakuja kumualika tena.
 
Huyo Indonga alishawahi kulipwa usd millions 2 per fight, then usd 800,000 mara mbili..hayo mapambano matatu tu ukijumlisha ni billions 8 hiyo ndiyo angle anayoongelea mwakinyo kuwa bilionea kupitia boxing siyo kugombea crown ya milion 22

mwakinyo kwa sasa ni wa 24, Indonga wa 43 ,mwakinyo ana nyota 4,Indonga ana 3 na nusu lakini jamaa ni milionea wa dollar unadhani mwakinyo roho haimuumi halafu mnampa stress akagombanie gari kweli?
USD m2 per fight? Umeitolea wapi hii habari?
 
Back
Top Bottom