Tupe baadhi ya shombo zake alizowahi kusema, msiwe mnamtetea kwa kigezo eti hata mabondia wakubwa walikuwa wanafanya hivyoMaboxer ndivyo walivyo Mohammed Ali kua ni greatest boxer of all time. Ila mlishawahi msikia akiwa anajikubali na maneno ya shombo anayoongea kuhusu wapinzani wake? Yaani Mwakinyo akasome Ali alikua anashombo zaidi la pale Ferry.
Zile ngumi za kichwani hua zinawafanya madishi yayumbe.Mabondia wanakuaga na majibu ya hovyo aisee ndivyo walivyo. Wanajibu kibabe na dharau hata kina floyd mayweather nk
Inaenda ikawa au wanakula vikali..? Maana hawajambo kwa majigambo mara sipiganii gari nina gari tatu moja nawapeleka mbwa wangu baharini kuwaosha kila wiki. How come..?Zile ngumi za kichwani hua zinawafanya madishi yayumbe.
Na uzuri wa watanzania mimi nawajua na wanasubiri apigwe hata pambano moja ndo watakuja kumsagia kunguniNishawahi kumsikia EFM mwaka jana alikuwa anajibu kwa dharau sana na kama majivuno hivi. Akiulizwa swali rahisi tu anajibu kwa mkato sana. Sidhani kama watakuja kumualika tena.
Kuna kitambo alisema anamtaka mayweather apigane naye maana mayweather eti anapigana kibishoo hivyo kwake co kitu. [emoji1787][emoji1787][emoji1787] nikajisemea anataka kuvunjwa fuvu sasaDogo anapewa plomo sana lakini hamna kitu alafu anajiskia sana
Sasa hapo dharau inatoka wapi......... ni maneno ya mabondia tuJamaa muda huu yupo live kwenye kipindi cha michezo cha Sports Extra ya Clouds Fm, anaulizwa maswali anajibu kwa majivuno na kebehi sana!
Mojawapo ya swali aliulizwa,
Mwandishi: watu na mashabiki wa ngumu wanataka pambano lako na Twaha Kiduku vipi linaweza kufanyika?
Mwakinyo: Mimi siwezi kupambana eti kisa kuna mtu kaweka zawadi beberu, mimi sio bondia wa namna hiyo!
Mimi siwezi kupambana na Twaha kwakuwa ni bondia mwenye hadhi ya chini sana, akapigane na akina Selemani Kidunda ndio hadhi yake!
Hivyo ndugu mwandishi nihitimishe tu kwa kusema kuwa, kama ambavyo hatutamuona tena Mtume Muhamad (S.A.W) na ndio ambavyo hakutakuwa na pambano la mimi dhidi ya Twaha Kiduku!!
===================
Hayo ni machache, jamaa ameongea ujinga mwingi sana...
Inahitajika akili sana kutofautisha ukweli na dharau...!Jamaa muda huu yupo live kwenye kipindi cha michezo cha Sports Extra ya Clouds Fm, anaulizwa maswali anajibu kwa majivuno na kebehi sana!
Mojawapo ya swali aliulizwa,
Mwandishi: watu na mashabiki wa ngumu wanataka pambano lako na Twaha Kiduku vipi linaweza kufanyika?
Mwakinyo: Mimi siwezi kupambana eti kisa kuna mtu kaweka zawadi beberu, mimi sio bondia wa namna hiyo!
Mimi siwezi kupambana na Twaha kwakuwa ni bondia mwenye hadhi ya chini sana, akapigane na akina Selemani Kidunda ndio hadhi yake!
Hivyo ndugu mwandishi nihitimishe tu kwa kusema kuwa, kama ambavyo hatutamuona tena Mtume Muhamad (S.A.W) na ndio ambavyo hakutakuwa na pambano la mimi dhidi ya Twaha Kiduku!!
===================
Hayo ni machache, jamaa ameongea ujinga mwingi sana...
Aliyopigana na terrence mbona jamaa anaishi USA kabisa ingawa ni mnamibia? huamini kwamba hizo hela zipo? m cuba aliyempiga PAQUIAO juzi hakuzoea kupata hela nyingi ila juzi kachukua usd millions 3 baada ya kumpiga Manny ingawa yeye manny alichukua 10 usd millionsUSD m2 per fight? Umeitolea wapi hii habari?
Haya hapa maneno yake ndugu.... NawasilishaTupe baadhi ya shombo zake alizowahi kusema, msiwe mnamtetea kwa kigezo eti hata mabondia wakubwa walikuwa wanafanya hivyo
ahaah, una Roho mbayaaaHakuna marefu yasiyo na ncha
dharau anayoonyesha is beyond hating
ACHA tu mchezo wa hatari sana ule, jamaa ana plans za kupata ma bilions wao wanataka apiganie crown..akaze buti tu atazipata tu hizo hela, he is so closeahaah, una Roho mbayaaa
Umwagaji wa shombo ndo sisi wapenzi wa boxing tunaopendezwa nao mwaga shombo then mtu akijichanganya mnyooshe kweli kweli kama Mwakinyo anavyoninyooasheaga watu na huyo Twaha akue kwanza asiote kupigana na Kilerrkinyo ajue atapigwa kipigo Cha jibwa jizi yaan watanga watamroga hadi arogeke haswa akifika kwenye ring kipigo tu halafu akimaliza kupokea kipigo Killerrkinyo anatamba haters sijui mtaeka api sura zenu
Hii ni entertain business boxer halafu ukiwa mpole kama askofu hufiki mbali haya majigambo ndio sehemu ya mchezo utakuta matusi na majigambo lakini baada ya pambano wanakumbatiana tu na mfano wa Mohd Ali mtu mzuri lakini kwenye majigambo unaweza kumchukia bure.Maboxer ndivyo walivyo Mohammed Ali kua ni greatest boxer of all time. Ila mlishawahi msikia akiwa anajikubali na maneno ya shombo anayoongea kuhusu wapinzani wake? Yaani Mwakinyo akasome Ali alikua anashombo zaidi la pale Ferry.
Jamaa atakua anatumia hela zake vibayaAliyopigana na terrence mbona jamaa anaishi USA kabisa ingawa ni mnamibia? huamini kwamba hizo hela zipo? m cuba aliyempiga PAQUIAO juzi hakuzoea kupata hela nyingi ila juzi kachukua usd millions 3 baada ya kumpiga Manny ingawa yeye manny alichukua 10 usd millions